Niende moja kwa moja katka mada,around SAA tisa usiku vibaka/wezi wamevamia nyumbani kwangu.Nashukuru Mungu alikuwa upande wangu hawakufanikiwa kuingia hadi ndani baada ya kusikia milango inafunguliwa kutoka ndani walikimbia.
SOMO
Kabla ya kulala mtangulize Mungu kama mlinzi wako na pia usiache vifaa hatarishi kama panga,nyundo na mbao nzito,mathalani kwangu kuna vipande vya mbao vya two by six walitumia kunyonga vyuma katika dirisha.
Ahsanteni,nawasilisha
Niende moja kwa moja katka mada,around SAA tisa usiku vibaka/wezi wamevamia nyumbani kwangu.Nashukuru Mungu alikuwa upande wangu hawakufanikiwa kuingia hadi ndani baada ya kusikia milango inafunguliwa kutoka ndani walikimbia.
SOMO
Kabla ya kulala mtangulize Mungu kama mlinzi wako na pia usiache vifaa hatarishi kama panga,nyundo na mbao nzito,mathalani kwangu kuna vipande vya mbao vya two by six walitumia kunyonga vyuma katika dirisha.
Ahsanteni,nawasilisha
Niende moja kwa moja katka mada,around SAA tisa usiku vibaka/wezi wamevamia nyumbani kwangu.Nashukuru Mungu alikuwa upande wangu hawakufanikiwa kuingia hadi ndani baada ya kusikia milango inafunguliwa kutoka ndani walikimbia.
SOMO
Kabla ya kulala mtangulize Mungu kama mlinzi wako na pia usiache vifaa hatarishi kama panga,nyundo na mbao nzito,mathalani kwangu kuna vipande vya mbao vya two by six walitumia kunyonga vyuma katika dirisha.
Ahsanteni,nawasilisha
Poleni sana ashukuriwe Mungu kwa ulinzi wake[emoji120]Niende moja kwa moja katka mada,around SAA tisa usiku vibaka/wezi wamevamia nyumbani kwangu.Nashukuru Mungu alikuwa upande wangu hawakufanikiwa kuingia hadi ndani baada ya kusikia milango inafunguliwa kutoka ndani walikimbia.
SOMO
Kabla ya kulala mtangulize Mungu kama mlinzi wako na pia usiache vifaa hatarishi kama panga,nyundo na mbao nzito,mathalani kwangu kuna vipande vya mbao vya two by six walitumia kunyonga vyuma katika dirisha.
Ahsanteni,nawasilisha
Sisi tuliipata kwa milion 3Jamani hivi manati za kizungu gharama yake ipo vipi na taratibu gani za kufuata ili uipate
Pole mkuu ni maeneo gani unaishiNiende moja kwa moja katka mada,around SAA tisa usiku vibaka/wezi wamevamia nyumbani kwangu.Nashukuru Mungu alikuwa upande wangu hawakufanikiwa kuingia hadi ndani baada ya kusikia milango inafunguliwa kutoka ndani walikimbia.
SOMO
Kabla ya kulala mtangulize Mungu kama mlinzi wako na pia usiache vifaa hatarishi kama panga,nyundo na mbao nzito,mathalani kwangu kuna vipande vya mbao vya two by six walitumia kunyonga vyuma katika dirisha.
Ahsanteni,nawasilisha