Tumeona utofauti kati ya wachezaji wakamia mechi na wachezaji wenye ubora

Tumeona utofauti kati ya wachezaji wakamia mechi na wachezaji wenye ubora

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Pamoja na wachezaji wa Yanga zaidi ya 10 kutoka kucheza mechi zao ngumu za kufuzu AFCON na kuchelewa kuingia Tanzania kujiandaa na derby lakini Simba imeshindwa kunufaika na hilo. Kuna wachezaji wameingia jana na mwingine ni alfajiri ya leo (Diara) lakini Simba imefungwa mara nne mfululizo.

Wachezaji wa Simba walianza na kasi lakini kipindi cha pili ni kama vile moto wa mabua umeanza kuisha huku Yanga wao kadri dakika zinavyozidi kwenda ndio wanaonekana ni bora zaidi na kuwafanya Simba wanachotaka yaani utulivu ulikuwa wa hali ya juu sana. Simba walikuja na nguvu ya soda na kukamia mechi wakati hawana stamina na fitness ya kutosha.

PIA SOMA
- FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024
 
Pamoja na wachezaji wa Yanga zaidi ya 10 kutoka kucheza mechi zao ngumu za kufuzu AFCON na kuchelewa kuingia Tanzania kujiandaa na derby lakini Simba imeshindwa kunufaika na hilo...
Wale vijana wa mika 14 wa simba sc wanakula kuku wenye umri wa wiki 2, if you eat a chicken of two weeks old what do u expect to your body growth
 
Pamoja na wachezaji wa Yanga zaidi ya 10 kutoka kucheza mechi zao ngumu za kufuzu AFCON na kuchelewa kuingia Tanzania kujiandaa na derby lakini Simba imeshindwa kunufaika na hilo. Kuna wachezaji wameingia jana na mwingine ni alfajiri ya leo (Diara) lakini Simba imefungwa mara nne mfululizo.

Wachezaji wa Simba walianza na kasi lakini kipindi cha pili ni kama vile moto wa mabua umeanza kuisha huku Yanga wao kadri dakika zinavyozidi kwenda ndio wanaonekana ni bora zaidi na kuwafanya Simba wanachotaka yaani utulivu ulikuwa wa hali ya juu sana. Simba walikuja na nguvu ya soda na kukamia mechi wakati hawana stamina na fitness ya kutosha.

PIA SOMA
- FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024
Siku zote MBUMBUMBU wanambinu za kindezi sana....wanapenda kukuotea goli la mapema ili wakuchanganye...hii mbinu wameitumia mara nyingi na bado wanaendelea kuitumia...nafikiri YANGA wameshawatambua wanawaacha WAKUKURUKE WEE dk 15 nyingi wanalegea...
FATILIENI MTALIONA HILO.
 
Pamoja na wachezaji wa Yanga zaidi ya 10 kutoka kucheza mechi zao ngumu za kufuzu AFCON na kuchelewa kuingia Tanzania kujiandaa na derby lakini Simba imeshindwa kunufaika na hilo. Kuna wachezaji wameingia jana na mwingine ni alfajiri ya leo (Diara) lakini Simba imefungwa mara nne mfululizo.

Wachezaji wa Simba walianza na kasi lakini kipindi cha pili ni kama vile moto wa mabua umeanza kuisha huku Yanga wao kadri dakika zinavyozidi kwenda ndio wanaonekana ni bora zaidi na kuwafanya Simba wanachotaka yaani utulivu ulikuwa wa hali ya juu sana. Simba walikuja na nguvu ya soda na kukamia mechi wakati hawana stamina na fitness ya kutosha.

PIA SOMA
- FT: Simba 0 - 1 Yanga | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | Oktoba 19, 2024
Ni kweli kabisa, Simba kipindi cha pili walianza kupoteza muda bila sababu. Wakati huo Yanga wanayataka matokeo. Yanga kaingiza washambuliaji wawili kwa pamoja. Hao janja janja under 17 wanaingiza beki. Hawa Simba wasipoacha propaganda za uchawi, mara bahati watashuka daraja. Wajipe muda watengeneze timu.
 
Ni kweli kabisa, Simba kipindi cha pili walianza kupoteza muda bila sababu. Wakati huo Yanga wanayataka matokeo. Yanga kaingiza washambuliaji wawili kwa pamoja. Hao janja janja under 17 wanaingiza beki. Hawa Simba wasipoacha propaganda za uchawi, mara bahati watashuka daraja. Wajipe muda watengeneze timu.
Fadlu aliona bora apate sare🤣🤣
 
Siku zote MBUMBUMBU wanambinu za kindezi sana....wanapenda kukuotea goli la mapema ili wakuchanganye...hii mbinu wameitumia mara nyingi na bado wanaendelea kuitumia...nafikiri YANGA wameshawatambua wanawaacha WAKUKURUKE WEE dk 15 nyingi wanalegea...
FATILIENI MTALIONA HILO.
Mbona hata Yanga ndio style yao hii msimu huu. Kila game wanayocheza wanafosi goli 2 ndani ya dakika 20 wanawapeleka mputa mputa. Wakishafanikiwa humo wanaanza kuwazungusha wenzao kwa pasi nyingi hadi half time huku wakikaba kweli kweli!

Jana walikaziwa sana na mfalme wa nyika kwenye zile dakika 20 za mwanzo wakapoteana. Wamekuja kuzinduka dakika ya 70!
 
Ni kweli kabisa, Simba kipindi cha pili walianza kupoteza muda bila sababu. Wakati huo Yanga wanayataka matokeo. Yanga kaingiza washambuliaji wawili kwa pamoja. Hao janja janja under 17 wanaingiza beki. Hawa Simba wasipoacha propaganda za uchawi, mara bahati watashuka daraja. Wajipe muda watengeneze timu.
Simba walihisi game itaisha na sare 😁 wakaanza kupaki basi. Kosa kubwa sana la kiufundi
 
Back
Top Bottom