Safi sana. Kapten aendelee kumshukuru anayemdhania ndo mwenye team.
Bao 3 kwa Nunge
Mi nitakuwa nahesabu tu. Hili li timu la hovyo. Na jana Morocco walituonea huruma sababu sisi ni ndugu zao. Ama sivyo ilikuwa watuchape hata 7. Inshallah next time itakuwa hivyo.
Wabillah tawfiq.