Tumepigwa, kila sehemu tumepigwa tukienda mpaka 2030 tutakuwa tumechakaa Sana

Tumepigwa, kila sehemu tumepigwa tukienda mpaka 2030 tutakuwa tumechakaa Sana

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Yaani tumepigwa kila sehemu
Nyerere Bora tulimtambua Kama mjamaa

Mwinyi alikuwa shamba la bibi lakini watu wote aliwapa fursa sawa kupitia ruksa.

Mkapa akaja na kulipa madeni na utandawazi uchumi ukawa imara nakumbuka wakati wa mkapa change ya dollar ilikuwa 600.

Akaja Kikwete maisha Bora kwa kila mtanzania tukajenga account zikawa zinasoma akafungua nchi tukatajirika wale wasaka ajira wakaajiliwa.

Akaja Magufuli akaifumua serikali akalalia falsafa ya ujenzi wa miundombinu tukaelewa

Sasa huyu mama
Dp world tumepigwa
Ngorongoro tumepigwa
Sheria za uchaguzi tumepigwa
Katiba mpya tumepigwa
Kizimkazi inajengwa makasiri Kama saudia tumepigwa
Utawara Bora tumepigwa

Machawa tu ndio wameongezeka na ndio wanakula keki ya Taifa uku yeye akipishana angani .

Kama tutaenda mpaka 2030 tutafika tumechoka Sana !!!!
 
Yaani tumepigwa kila sehemu
Nyerere Bora tulimtambua Kama mjamaa

Mwinyi alikuwa shamba la bibi lakini watu wote aliwapa fursa sawa kupitia ruksa.

Mkapa akaja na kulipa madeni na utandawazi uchumi ukawa imara nakumbuka wakati wa mkapa change ya dollar ilikuwa 600.

Akaja Kikwete maisha Bora kwa kila mtanzania tukajenga account zikawa zinasoma akafungua nchi tukatajirika wale wasaka ajira wakaajiliwa.

Akaja Magufuli akaifumua serikali akalalia falsafa ya ujenzi wa miundombinu tukaelewa

Sasa huyu mama
Dp world tumepigwa
Ngorongoro tumepigwa
Sheria za uchaguzi tumepigwa
Katiba mpya tumepigwa
Kizimkazi inajengwa makasiri Kama saudia tumepigwa
Utawara Bora tumepigwa

Machawa tu ndio wameongezeka na ndio wanakula keki ya Taifa uku yeye akipishana angani .

Kama tutaenda mpaka 2030 tutafika tumechoka Sana !!!!
sisiemu ni ileilee oooh ni ileilee
 
Naonaa Bado hatujapigwa vzr mkuu,ww subiri mwakani yaani tutapigwa mpk tukimbiee nchi au tuamuee kuandamana bila kushawishiwa na chama chcht Cha upinzani kutetea maslai yetuuu ..maana na cc wa Tz tupo km makondooo.
 
Back
Top Bottom