Tumesherehekea uhuru wa Tanganyika na siyo wa Tanzania wala siyo wa Tanzania bara. Tanzania haiwezi kusherehekea uhuru maana haijawahi kutawaliwa

Tumesherehekea uhuru wa Tanganyika na siyo wa Tanzania wala siyo wa Tanzania bara. Tanzania haiwezi kusherehekea uhuru maana haijawahi kutawaliwa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Leo ni sherehe ya kumbukizi la uhuru wa TANGANYIKA iliyokuwa inatawaliwa na Waingereza. Tusipotoshe historia!! Leo siyo siku ya uhuru wa Tanzania.

Anayebisha aniambie Tanzania ilikuwa inatawaliwa na mkoloni yupi! Hakuna nchi iliyokuwa inaitwa Tanzania wala Tanzania bara!! Tumeamua kupotosha historia kwa manufaa ya nani?
 
Leo ni sherehe ya kumbukizi la uhuru wa TANGANYIKA iliyokuwa inatawaliwa na Waingereza. Tusipotoshe historia!! Leo siyo siku ya uhuru wa Tanzania. Anayebisha aniambie Tanzania ilikuwa inatawaliwa na mkoloni yupi! Hakuna nchi iliyokuwa inaitwa Tanzania wala Tanzania bara!! Tumeamua kupotosha historia kwa manufaa ya nani?
Inasikitisha sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Maadhimisho ya miaka 60; yaliyogeuzwa kuwa maonesho ya kijeshi!!
 
Tanzania si Tangayika iliyojibadili jina baada ya kukubaliana na kuungana na Zanzibar, ni kama Cassius Marcellus Clay, Jr alipokubali mafunzo ya Nation of Islam na kubadili imani yake jina lake pia lilibadilika na kuitwa Mohammed Ali.

Kila alipokuwa anasherekea siku yake ya kuzaliwa ilikuwa inasemwa ni siku ya kuzaliwa ya Mohammed Ali sio Cassius Marcellus Clay, Jr.
 
Back
Top Bottom