Sioni mandalizi ya kuufanya uchaguzi huo kuwa wa haki na huru. Uchaguzi utabaki kuwa wa ovyo.Tanzania jana ilikuwa kwenye darubini za Jumuiya za Kimataifa kuhusu kuwasili kwa Tundu LISSU. Taasisi nyingi zilitegemea kungetokea vurugu nchini na polisi kumkamata Tundu LISSU.
Kwa ujumla mapokezi yalikuwa salama na Tundu Lissu hakukamatwa, hicho ni kigingi cha kwanza ambacho tumekivuka. Kigingi cha pili ni uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Je, utakuwa huru na haki, uchaguzi huu utatuweka tena kwenye darubini za kimataifa.
Huru na haki kwa mujibu wa nani?
Kingi Cha kwanza Tundu Lisu kabwagiwa kwenye kura za uteuzi kamati kuu kaongoza Nyalandu kigingi Cha pili kinamngoja baraza kuu .Bado ana vigingi vya kuvuka si vibaya akianza kujiandaa kisaikolojia akibwagwa na baraza kuuKigingi cha pili tutaanguka maana kila mpumbavu anadhani Lissu ataukwaa Urais ingawa ukweli JPM atashinda zaidi ya asilimia 90 hata iwe kwa haki au vinginevyo.
Fight for a free electoral commission. Short of that you remain losers.Mitano inatoshaView attachment 1519611
Bwana Mende mbona anajipendekeza sana kwa wanaume wenzakeMitano inatoshaView attachment 1519611
Kama wameshazoea basi huo ushakuwa utamaduni wao kuporwa watulie tu.Kwa mujibu wa walioozea kuporwa ushindi wao.
[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji40][emoji40][emoji40][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Mimi 'pacemaker' yangu ina unguruma unguruma kama vile betri limeshiwa nguvu yaani chagi(charge)
Jpm hashindi uchaguzi wa mwaka huu. Iwe kwa kuiba au kutoiba. Hashindi. Amini nakwambiaKigingi cha pili tutaanguka maana kila mpumbavu anadhani Lissu ataukwaa Urais ingawa ukweli JPM atashinda zaidi ya asilimia 90 hata iwe kwa haki au vinginevyo.
Tume hiru hamtaipata kama zawadi kwenye meza za chakula cha usiku. Hamridhiki kuna option 2 tu, mtulie msijihusishe na uchaguzi unaoratibiwa na kisimamiwa na tume husika au mbebe kila mnachoweza muingie barabarani mkapimane vifua na mapoti.Uchaguzi wa hovyo usiozingatia taratibu za kidemokrasia ndio kigingi halisi.Wangeshindana katika mazingira yanayokubalika kama free and fair election.
Huwa nawaza kama CCM inaamini inakubalika kwa wananchi na wana mtaji wa wanachama, hofu huwa ya nini?
Victoire umeona anayeumwa huyuJpm hashindi uchaguzi wa mwaka huu. Iwe kwa kuiba au kutoiba. Hashindi. Amini nakwambia
Jpm hashindi uchaguzi wa mwaka huu. Iwe kwa kuiba au kutoiba. Hashindi. Amini nakwambiaKigingi cha pili tutaanguka maana kila mpumbavu anadhani Lissu ataukwaa Urais ingawa ukweli JPM atashinda zaidi ya asilimia 90 hata iwe kwa haki au vinginevyo.
Ndiyo maana hata aliyekuwahi namuonea wivu. Una akili sanaJPM anashindwa vipi wakati upinzani kila chama kinaweka mgombea ?
Kuwaita watu wapumbavu kisa wana maono tofauti na wewe ni kuonyesha jinsi ulivyokosa utu kwa aslimia 100%Kigingi cha pili tutaanguka maana kila mpumbavu anadhani Lissu ataukwaa Urais ingawa ukweli JPM atashinda zaidi ya asilimia 90 hata iwe kwa haki au vinginevyo.