Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kwa wale mnaofahamu historia ya jeshi la Polisi. Pamewahi kutokea Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai au IGP kutoka Zanzibar?
Je, jeshi la polisi Tanzania limewahi kuwa na Mwanamke mwenye uwezo (capacity) ya kuwa IGP au DCI?
Kuhusu wizara ya Mambo ya Ndani, imewahi kuongozwa na Waziri mwanamke?
Je, jeshi la polisi Tanzania limewahi kuwa na Mwanamke mwenye uwezo (capacity) ya kuwa IGP au DCI?
Kuhusu wizara ya Mambo ya Ndani, imewahi kuongozwa na Waziri mwanamke?