Tumewahi kuwa na IGP and DCI kutoka Zanzibar? Je vyeo hivi vimewahi kushikwa na mwanamke?

Tumewahi kuwa na IGP and DCI kutoka Zanzibar? Je vyeo hivi vimewahi kushikwa na mwanamke?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kwa wale mnaofahamu historia ya jeshi la Polisi. Pamewahi kutokea Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai au IGP kutoka Zanzibar?

Je, jeshi la polisi Tanzania limewahi kuwa na Mwanamke mwenye uwezo (capacity) ya kuwa IGP au DCI?

Kuhusu wizara ya Mambo ya Ndani, imewahi kuongozwa na Waziri mwanamke?
 
Back
Top Bottom