Tumia laptop yako kupata pesa haraka

Tumia laptop yako kupata pesa haraka

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Target: NECTA form four results in local areas.

Nimekaa nikawaza hapa mjini siku hizi karibu kila mtu ana simu ya kuweza kuangalia matokeo ya kidato cha nne pia kuna internet cafe kibao na pia network ipo mwake.

sasa nlichojifunza chuoni ni kwamba "lack of service means an oppurtunity to entrepreneurs" nkimaanisha ya kwamba sehemu ambapo hakuna huduma ndio sehemu nzuri ya kuwekeza.

Huku mjini hii biashara haitalipa ila Kama ilivyokuwa mwaka jana nna uhakika nikienda kijijini ambako internet ni tatizo hii itabaki kuwa fursa kwangu, nmeshaplan kwenda kijiji fulani.

Chenye shule 5 za Sekondari na hicho kijiji internet ni tatizo pia umeme ni tatizo, plan yangu ni kwamba matokeo yakitoka tu mi naya "download" nafunga safari kwenda kuonysha matokeo kwa 1,000/= kila mwanafuzi leo hii.

Nimetoka huko na nishapata chumba kiti na meza kwa ajili ya shughuli nitayofanya hiyo siku.

Mwaka jana nlipata around 600k kwa hawa form four ila kwa form six nlitingwa na chuo ila kuna rafiki yangu alibutua around 150 k,

"BEST WISHES KWA WOTE MTAKAOJARIBU"
 
target: necta form four results in local areas

nimekaa nikawaza hapa mjini siku hizi karibu kila mtu ana simu ya kuweza kuangalia matokeo ya kidato cha nne pia kuna internet cafe kibao na pia network ipo mwake

sasa nlichojifunza chuoni ni kwamba "lack of service means an oppurtunity to entrepreneurs" nkimaanisha ya kwamba sehemu ambapo hakuna huduma ndio sehemu nzuri ya kuwekeza,

huku mjini hii biashara haitalipa ila KAMA ilivyokuwa mwaka jana nna uhakika nikienda kijijini ambako internet ni tatizo hii itabaki kuwa fursa kwangu, nmeshaplan kwenda kijiji fulani
chenye shule 5 za sekondari na hicho kijiji internet ni tatizo pia umeme ni tatizo, plan yangu ni kwamba matokeo yakitoka tu mi naya "download" nafunga safari kwenda kuonysha matokeo kwa 1,000/= kila mwanafuzi leo hii
nimetoka huko na nishapata chumba kiti na meza kwa ajili ya shughuli ntayofanya hiyo siku

mwaka jana nlipata around 600k kwa hawa form four ila kwa form six nlitingwa na chuo ila kuna rafiki yangu alibutua around 150 k,
"BEST WISHES KWA WOTE MTAKAOJARIBU"

big up bro.. such a nyc entrepreneurship
 
Matokeo huwa yanachukua siku ngapi kufika shuleni hasa za vijijini? Pia naona km waliopo vijijini wengi wana ndg mjini ambao matokeo yakitoka wanawapigia cm wawatazamie...hii inatokea masaa machache sana baada ya matokek kutangazwa!!
Anyway it's a good idea, try it.
 
Safi sana lakini ukichukua mtindo wa MZEE WA LOLIONDO na ukapunguza hiyo charge yaani Sh.1000/= na kufanya say 500/=, naamini utapata wanafunzi wengi wa kuangalia hayo matokeo. Si unajua dent mara nyingi hawana pesa kihivyooo, au vipi?
 
Safi sana lakini ukichukua mtindo wa MZEE WA LOLIONDO na ukapunguza hiyo charge yaani Sh.1000/= na kufanya say 500/=, naamini utapata wanafunzi wengi wa kuangalia hayo matokeo. Si unajua dent mara nyingi hawana pesa kihivyooo, au vipi?

supply ya service ikiwa chini demand is always high, ndomana nmeziachia market forces ziji adjust =
 
Mi nilizibutuaga kipindi kile mfumo wa kujisajili TCU na kuomba Mkopo online, nilikuwa silali watu kutoka bushi niliwaandalia sehemu ya kulala baadae baadhi waliopata vyuo waliniletea kuku,

Wazo zuri komaa ndugu
 
Back
Top Bottom