Tumia mafuta ya habat soda (black seed oil) kutibu magonjwa mengi

Wangikifuangojaniwahiusikuuhuu sijuiwakowazi
 
nasumbuliwa na vibarango vidogo vidogo,nishapima minyoo hakuna,je haya mafuta yanaweza kunisaidia????????
 
Yale mafuta yatumikayo kutibu maradhi ya aina mbalimbali huonekana katika kifungashio boksi la namna hii. Ushauri wangu ni kama huwezi kuyatofautisha, tafadhali mtafute mtu anayehusika nayo.

Kuna mafuta feki yanazungushwa sana mtaani siku hizi. Nimetuma picha hii ni kwa wale waliopata yasiyo halisi.
 

Attachments

  • 1431676916743.jpg
    38.8 KB · Views: 608
Yanatibu maradhi gani mkuu hebu nijuze na yanapatikanaje?
 
Ahsante Mkuu ila Mimi nanunua original barabara ya tisa Dodoma opp. Msikiti kuna duka la dawa za asili
 
Haya ni baadhi tu ukiweka kwenye nywele huchochea umadhubuti na ukuaji wa nywele na kuondosha mba na mapunye kwa watoto. Ukipaka kwenye ngozi hulainisha ngozi na kukabiliana na changamoto za maradhi ya ngozi hasa chunusi na madhara ya vipodozi sumu. Ukinywa ni nzuri. Kwa pumu, sukari, HBP,ulcers. Na mengineyo mengi kwa maelezo zaidi ingia google search au kama ukihitaji ninayosambaza mimi ni check 0752995192. Kwa sasa niko tena Geita
 
Nimepigwa na butwaa tena!

Kuna mgonjwa aliekuwa anasumbuliwa na mawe ya figo kwa kipindi kirefu, baada ya kutumia mafuta haya chupa tatu daktari wake kamuambia hana tena shida hiyo.

Nitafurahi kusikia mtu mwingine alie na ushahidi wa kutibiwa na haya mafuta, tafadhali share nami, jisikie huru kuchangia chochote ujuacho kuhusu mafuta haya.
 
Yanauzwa wapi ? Ninywe ili nilete hapa ushuhuda kwani nami mawe kibao figoni
 
Yanauzwa wapi ? Ninywe ili nilete hapa ushuhuda kwani nami mawe kibao figoni

Inategemea uko wapi.. Waweza yatafuta popote ukishindwa wasiliana nami n# iko hapo juu
 
mi nilisikia yanatibu mpka ngoma,je! kuna ukweli hapo
 
Wakuu poleni kwa majukumu ya maisha. Naombeni msaada wenu Wa kitabibu...

Kuna mtu nimemueleza matatizo ya maumivu niliyo nayo mwilini ndo akaniagiza nikatafute mafuta ya black seeds oil kwamba takuwa tiba ya maumivu niliyo nayo

Kifupi ni kwamba nasikia maumivu kwenye tumbo la chini ya kitovu na mgongo unauma kwenye kiuno yakiambatana na kibofu cha mkojo kuuma pale mkojo unapokusanyika kidogo. Kingine ni maumivu ya shingo na mabega. Nimehudhuria hospital sana tena hospital kubwa na vipimo vyote nimepata lakini hakuna ugonjwa ulioonekana.

Nimepima hadi figo ziko sawa. Sasa ndo nikaagiziwa nikanunue hayo mafuta ya Black seeds oil.manake nimeambiwa yanatibu magonjwa zaidi ya ishirini ikiwemo king a dhidi ya ugonjwa Wa cancer.
Naombeni mwenye ujuzi na haya mafuta na kama alishawahi kuyatumia yakamsaidia; anipe mwongozo please. Asanteni. Karibuni Doctors Wa hili jukwaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole mkuu.. nenda maduka ya wahindi au waarabu (wanouza dawa) ULIZA HABAT SODA
 
[HASHTAG]#MziziMkavu[/HASHTAG] nasumbuliwa na malaria mara kwa mara je habat sauda inaweza nisaidia na ni namna gani nitumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…