dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 616
- Thread starter
-
- #21
Endeleeni tu mkuuAcha wengine tuendelee kula chukuchuku mkuu.
Mi nilipata mnatoMabwawa ndio poa
TruePia kama anamuda mrefu anatumia ARV kwa usahihi inafika kipindi haambukizi kwa sababu viral loads yake ni ndogo
Mkuu watu wanaoa lkn bado wanapiga mechi za ugeniniBadala kuwashauri waowe kihalali, wewe ndio unawapoteza kabisa. akili za mwafrika bana.
Sio maandaki ambayo ata mwisho huwezi kuya kadiria?Mabwawa ndio poa
Acha uchawi wewe, mimepima Niko fresh mbona unataka kulazimisha mambo ambayo hayapoPombe zikiisha kichwani kapime tena.
Acha uchawi kijana mdogoPombe zikiisha kichwani kapime tena.
Halafu unaloweka kwa umakini ukimaliza unaenda kuoshaEndelea kuamshaamsha mpaka yalowane
Miezi mitatu ikiisha kapime tenaNilipiga demu mwenye ngoma, ila nilitumia condom,nimepiga kama mwezi mmoja, nilikua naogopa kupima.Leo nimekunywa pombe ili nipate confidence,nikaenda kupima Niko fresh, kuna agenda za mtaani eti condom haizuii ngoma, puuza utanishukuru baadae,HV hapa nipo napiga moja baridi moja moto,nikiwa na furaha kinomaaa,huku nikiangalia mechi ya yanga,naombea yanga ifungwe ili furaha yangu iongezeke
Mkuu unaamin watu wataacha uzinziVijana acheni uzinzi,asiwadanganye mtu,ufalme wa Mungu unakaribia,zingatieni ushauri wangu utawasaidia
Mnato unakuondoa fastaMi nilipata mnato
We we ushawah kupima,Hahaha kama ulikunywa ndio ukapima mwanangu umeingia chaka. Wewe tayari ushaungwa gridi ya taifa a.k.a CHAWAMBATA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Makorongo ndio yenye uhakika wa maisha bila vidongeSio maandaki amabayo ata mwisho huwezi kuya kadiria?
Ha haTatizo utam sasa
majibu hukusikia vizuri we una ngoma wewenimekunywa pombe ili nipate confidence
Kama umeuliza swali weka alama ya kuuliza hapo.Elimu ya Tanzania ni changamoto sana!Mkuu unaamin watu wataacha uzinzi
Ukiona una roho mbaya ujue unangomamajibu hukusikia vizuri we una ngoma wewe
Ukute ulijipa pressure bureStori ya kijiwen
π π πUkiona una roho mbaya ujue unangoma