mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hivi kuna ambae hajui Ukimwi upo? Nawashangaaga sana mnaosemaga hivi.
Nilipiga demu mwenye ngoma, ila nilitumia condom,nimepiga kama mwezi mmoja, nilikua naogopa kupima.Leo nimekunywa pombe ili nipate confidence,nikaenda kupima Niko fresh, kuna agenda za mtaani eti condom haizuii ngoma, puuza utanishukuru baadae,HV hapa nipo napiga moja baridi moja moto,nikiwa na furaha kinomaaa,huku nikiangalia mechi ya yanga,naombea yanga ifungwe ili furaha yangu iongezek
Akipigwa machine huko akuleteeUkimwi ni ajali kama zingine mkuu..,
Kutumia condom ni sawa na kujitekenya huku unajichekesha mwenyewe..
Dawa ni kutulia na mmoja tu.
Mkuu mi nashaur kitu kinachowezekana,unaeza kuacha wewe mwenzio akawa anafanya kama kawaSasa mkuu unashauri tutumie condom kwa ajili ya HIV, umesahau kuna ugonjwa kama Hepatitis B ambao unateketeza kuliko ukimwi unasemaje kuhusu hilo, au ndio utasema tuvae nguo za nylon, ikija kwa Corona tuvae barakoa Sasa tukifata masharti yote tutakuwa tunafanya ngono au? Maana ukifata masharti yote kwenye uvaaji utaonekana kama wale Askari wa zimamoto! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2365][emoji2365][emoji2365]
Dawa ni moja tu, tuache ngono!
Hahaha aiseeBila shaka unaukimwi tiari, nimesoma saikolojia wewe umeungua tiar hata kama hujawahi Pima, niamini mimi
Hill ndilo neno LA maana, mengine ni michemusho tu!Ukimwi ni ajali kama zingine mkuu..,
Kutumia condom ni sawa na kujitekenya huku unajichekesha mwenyewe..
Dawa ni kutulia na mmoja tu.
[emoji3516]Hahaha kama ulikunywa ndio ukapima mwanangu umeingia chaka. Wewe tayari ushaungwa gridi ya taifa a.k.a CHAWAMBATA. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli huu kwa asilikia kubwaUkishaona MTU anaanza kusema kuna magonjwa hatar zaidi ya ukimwi, kimbia sana kutoka eneo alilopo, geuka nyuma baada ya km 100
[emoji3] huyu majibu kayaona kipombepombePombe zikiisha kichwani kapime tena.
Sawa, nathamini ushauri wako.Mkuu mi nashaur kitu kinachowezekana,unaeza kuacha wewe mwenzio akawa anafanya kama kawa
Hii ni kulingana na WHO ( A large body of scientific evidence shows that male latex condoms have an 80% or greater protective effect against the sexual transmission of HIV and other STIs).Nilipiga demu mwenye ngoma, ila nilitumia condom,nimepiga kama mwezi mmoja, nilikua naogopa kupima.Leo nimekunywa pombe ili nipate confidence,nikaenda kupima Niko fresh, kuna agenda za mtaani eti condom haizuii ngoma, puuza utanishukuru baadae,HV hapa nipo napiga moja baridi moja moto,nikiwa na furaha kinomaaa,huku nikiangalia mechi ya yanga,naombea yanga ifungwe ili furaha yangu iongezeke
Chama Cha Wala Mbaazi Tanzania.[emoji3516]
MKUU,
KIREFU CHA "CHAWAMBATA",
TAFADHALI!!!!
Ndy ajali yenyewe hyoAkipigwa machine huko akuletee
dah kwa hiyo ARV ni mbaaziChama Cha Wala Mbaazi Tanzania.