Tumjibu Askofu Gwajima Kisayansi na si Kisiasa, tuache kumshambulia na kumtishia. No research no right to speak

Umetoa ushahidi wa Uingereza kwa kile kinachoonekana. Kwa kuwa hukuweka takwimu hali ya sasa, naliacha lilivyo.

Linalo nigusa ni kinachoendelea kwenye nchi jirani ambako, pamoja na chanjo, ugonjwa unazidi kupamba moto, hasa hasa Rwanda ambako takwimu, hadi jana, hazipendezi, ikizingatiwa idadi ya watu 13,309,746 (15/8/2021) na walikuwa wamechukua hatua ya lockdown:
[emoji830]︎ Waliochajwa kikamilifu (dose 2), 888,908;
[emoji830]︎ Waliochanjwa dose moja (1) ni 30,932;
[emoji830]︎ Maambukizi mapya ni 466; na
[emoji830]︎ katika siku 7 maambukizi ni 3,651
 
If you think dealing specifically with Gwajima will help you! The tune is still not clear! Let's blend it [emoji41]
 
Wameshasema kuwa chanjo zimeruhusiwa kwa emergency use. Emergency haifuati utaratibu mrefu.

Hata hivyo majaribio yameshafanyika kwa watu na matokeo yanajulikana. Kwa kuangalia cost and benefit ndiyo zikaruhusiwa.

Gwajima ana agenda yake ndiyo maana kang"ang"ana na mRNA... Wakati chanjo zipo za aina tofauti. Kama anataka chanjo zilizotumia traditional methods kutengeneza nazo zipo.

Kwa yeye kujifanya anajua sana mambo, na anasoma sana anashindwaje kujua kuwa Corona virus siyo new virus. Corona virus wameshaua huko nyuma na research zimeanza Siku nyingi. Tofauti ni kuwa Corona virus wa SARS siyo hatari kama wa sasa Cov 2.
 
Kinachonisikitisha ni kuwa hawa viongozi wetu hawatuelezi juu ya wale waliochanja hivi sasa na wamepata matatizo kutokana na hii chanjo, huyu naibubwaziri si ndie alikuwa mstari wa mbele kusifia nyungu hadi akapewa huo uwaziri baada ya aliyekuwa naibu wazirikusema kupiga nyungu ni kuunguza makoo bure na akatumbuliwa na mwendazake , yeye mbona hakutupa sababu za kisayansi kuhusu nyungu. Hata akina Jafo si ndio walikuwa wanasifia nyungu je walithibitisha wapi kisayansi kuhusu hizo nyungu?
 
Mkuu badala ya kumshambulia Gwaji boy tu tupeni na matokeo ya wale waliochanjwa, fuatilieni ndio utajua kwanini wengi hawaamini hiyo chanjo
 
Sijui kwanini kila nikimwona Askofu Gwajima anahubiri au anazungumza mahala popote pale hudhani ni Mgonjwa wa Akili amezidiwa na anahitaji Tiba ya haraka ili asije akafanya tukio baya kwa wenye Akili timamu.
 
If you think dealing specifically with Gwajima will help you! The tune is still not clear! Let's blend it [emoji41]
People are wrongly accusing Gwajiboy unknown to them that he is well informed. He spoke of nanotechnology, who know about it.

I searched literature and this what I found out. Nanotechnology is the understanding and control of matter (gases, liquids and solids) at the nanoscale, at dimensions between approximately 1 and 100 nanometers, where unique phenomena enable novel applications. Application depends on the properties of the matter. Some nanostructured materials are stronger or have different magnetic properties compared to other forms or sizes of the same material. Others are better at conducting heat or electricity. They may become more chemically reactive or reflect light better or change color as their size or structure is altered.

If that is what nanotechnology is, then Gwaiboy's argument that the COVID-19 vaccine is tempered (nanostructured) to control recipients is food for thought
 
Hakuna mtu mpumbavu ka Dr Kama Upara Mollel huyu jamaa anatumia nguvu kweli kuhasisha Chanjo unajiuliza hyu kichaaa au mwendawazimu anakuja na vitisho kana kwamba wale ambao hatujachanjwa ni wakosefu jinga hili Mollel
 
Rwanda wanapima COVID bure sisi tuliamua kupima ni sehemu ya biashara.

Halafu kuna swala la elimu Tanzania ata ingekuwa kupima bure response rate sidhani ingekuwa sawa ukizingatia Magufuli alivyoichukulia Corona. Matokeo yake serikali mpaka leo bado inapambana kushawishi umuhimu wa chanjo.

Rwanda wametumia nguvu na resources kutoa elimu watu kujitokeza na hakuna watu kama hakina Bishop Rashid kule.

Halafu inategemea kwa siku unapima watu wangapi na wangapi unawakuta na virus ili uweke uwiano wa hizi nchi mbili.

Either way nina uhakika tungekuwa tunapima bure na watu wanajitokeza idadi yetu ingekuwa zaidi ya Rwanda.

Moreover only kwa kujilinganisha idadi ya wagongwa waliopo hospitalini baina ya hizo nchi mbili ndio tunaweza pata picha. Walau hizo info wizara ya afya wanazo.
 
Mkuu badala ya kumshambulia Gwaji boy tu tupeni na matokeo ya wale waliochanjwa, fuatilieni ndio utajua kwanini wengi hawaamini hiyo chanjo
Mimi mwenyewe nimechanjwa mwezi wa tatu sasa na niko poa tu.
 
Hoja yako ya watu kupimwa ingekuwa na mashiko kama kipimo cha UVIKO-19 kingekuwa "valid & reliable". Taarifa za kisayansi zimethibitisha kuwa aina mpya (variant) ya UVIKO-19 haina jinsi ya kupimwa. Hata ya awali (swab) nayo ilitoa matokeo tatanishi
 
ninacho kumbuka kipindi gwajima yupo bungeni akipinga hili alikuwa jirani na jirani yake anayemtishia sasa akitikisa kichwa kwa furaha sana na kuunga mkono ila kwa sasa naona tunatetea tumbo,,,,,,, hapa shida ni tumbo shida tumbo! wakati ule walikuwepo hawa wataalumu kwa nini hawakusimama. walitushawishi na kutuaminisha tunaweza kupona kwa dawa zetu nakumbuka walikuwa na brenda wakifanya live demonstration, leo imekuwaje tena shida TUMBO! tunatetea TUMBO na ajira zao. tusiwaamini akili kichwani kwetu na sisi kama raia tuna akili zetu.
 

Ukweli ni kwamba tafiti zimefanyika muda mrefu tokea ilipoibuka Sars ile ya mwanzo, then Mers na sasa hii Sars ya 2019. Ni jamii moja ya virus vilivyopachikwa jina la corona virus na vimekuwa vikisababisha homa ya mapafu...

Hivyo kwa muda mrefu wenzetu walikuwa maabara kujaribu kuvielewa virus hivyo ili itapokuja kutokea outbreak nyingine waweze kuvidhibiti kwa ama chanjo au madawa...
 
Sijui kwanini kila nikimwona Askofu Gwajima anahubiri au anazungumza mahala popote pale hudhani ni Mgonjwa wa Akili amezidiwa na anahitaji Tiba ya haraka ili asije akafanya tukio baya kwa wenye Akili timamu.
P
 
Hoja yako ya watu kupimwa ingekuwa na mashiko kama kipimo cha UVIKO-19 kingekuwa "valid & reliable". Taarifa za kisayansi zimethibitisha kuwa aina mpya (variant) ya UVIKO-19 haina jinsi ya kupimwa. Hata ya awali (swab) nayo ilitoa matokeo tatanishi
Suppose hoja yako ya vipimo ipo sahihi hao maambukizi mapya 466 ya Rwanda uliyoleta mwenyewe hao watu wamebainika vipi?

We na huyo Gwajima mnafanana kifikra.
 
Suppose hoja yako ya vipimo ipo sahihi hao maambukizi mapya 466 ya Rwanda uliyoleta mwenyewe hao watu wamebainika vipi?

We na huyo Gwajima mnafanana kifikra.
Hao wanaopima Rwanda wanatumia vipimo vinavyotumika kote duniani vyenye kutoa majibu tatanishi. Kimsingi majibu hayo yanatumika kibiashara zaidi kuliko madhumuni yake. Si ajabu mfano wako wa Uingereza, hapo awali, una malengo yale yale ya kibiashara.

Hivyo naungana na Gwajima kuuliza maswali yasiyo na majibu. Kwa kuwa hayana majibu ni budi kwenda "field" kupata majibu. Km watengenezaji wa chanjo hawajathibitisha chanjo inatoa kinga zaidi ya kudai kuwa mwenye chanjo ataambukizwa na kuambukiza, tofauti na madhumuni ya chanjo.
 
I am not even going to ask the rationale of you introducing stats to compare, only later refute their significance.

Just amazing

Cha Msingi Gwajima kaitwa kuthibitisha madai yake sasa wewe na yeye muende na chemical detectors zenu gods knows which ones zinazotumika kuonyesha hizo vaccine zimejaa nanotechnology; usiende huko ukaomba pH test I don’t think it useful in magnetism detection of any sort.

Alamsiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…