kj75 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2019 Posts 539 Reaction score 637 Sep 22, 2020 #61 Crimea said: Lisu atapigiwa kura na wahuni wenzie! Sisi watanzania hatiwezi kumchagua mtu atuongozee nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam. Click to expand... Wewe ni haki usimpigie lisu kura coz hata kuandika kwenyewe hujui nyie CCM hamna akili kabisa
Crimea said: Lisu atapigiwa kura na wahuni wenzie! Sisi watanzania hatiwezi kumchagua mtu atuongozee nchi kwa matakwa ya beberu wake Amsterdam. Click to expand... Wewe ni haki usimpigie lisu kura coz hata kuandika kwenyewe hujui nyie CCM hamna akili kabisa
Manjagata JF-Expert Member Joined Mar 7, 2012 Posts 13,942 Reaction score 15,371 Sep 22, 2020 #62 stroke said: Tunampigia kura Mgombea wa CCM anayetokana na Taasisi imara yenye kuheshimika Afrika na Dunia nzima, Hatumpigii kura Mgombea wa Saccos inayotafuta fedha kukuza mtaji wake. Click to expand... Mtashangaa na roho zenu! Hatuna muda wa kuendelea na Muhutu!
stroke said: Tunampigia kura Mgombea wa CCM anayetokana na Taasisi imara yenye kuheshimika Afrika na Dunia nzima, Hatumpigii kura Mgombea wa Saccos inayotafuta fedha kukuza mtaji wake. Click to expand... Mtashangaa na roho zenu! Hatuna muda wa kuendelea na Muhutu!
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Sep 22, 2020 #63 Jiwe mitano ishamtosha..akapumzike chatoh kwa amani....na kama atazidi kungangania ataumbuka vby.
Turnkey JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 7,359 Reaction score 5,837 Sep 23, 2020 #64 Huyo mzee arudi kwao ila atapike 1.5T kabla ya kusepa