Tumkumbuke Martin Luther King Jr.

A JUSTMAN

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
439
Reaction score
555
Leo U.S.A ni siku ya Martin Luther King Jr, kwa heshima yake hapa mimi namkumbuka kwa kutafakari quote yake moja maarufu nayo ni:

We must live together as brothers or perish together as fools.”

Hapa alikuwa anamaanisha kuwa ni lazima tuishi pamoja kwa upendo na kama tunashindwa basi tutaangamia.

Nini kitatuangamiza?
Yaweza kuwa chuki, ubinafsi, wivu, tamaa ya madaraka, tamaa ya mali/utajiri nk.

Weka hapa quote moja au zaidi ya Martin Luther King Jr.
 
Tafsiri yako si sahihi. Ulipaswa uombe tukutafsirie. Mimi nina htuba zake zote na quotes zake zake zooooote.
Hapo anasema " tunapaswa/ni lazima tuish pamoja kama ndugu ama sivyo tuangamie pamoja kama wapumbavu"


 
Tafsiri yako si sahihi. Ulipaswa uombe tukutafsirie. Mimi nina htuba zake zote na quotes zake zake zooooote.
Hapo anasema " tunapaswa/ni lazima tuish pamoja kama ndugu ama sivyo tuangamie pamoja kama wapumbavu"
Yaani huyu kama ni Ticha basis mwanafunzi hapo anakuwa chenga kama ticha
 
Tafsiri yako si sahihi. Ulipaswa uombe tukutafsirie. Mimi nina htuba zake zote na quotes zake zake zooooote.
Hapo anasema " tunapaswa/ni lazima tuish pamoja kama ndugu ama sivyo tuangamie pamoja kama wapumbavu"
Sasa unafikiri ni kitu gani kinachoweza kuunganisha watu wa races tofauti na wakaishi kama ndugu?
Hapo nimetafakari kilichokuwa ndani ya quote king mara zote alizungumzia upendo rejea hizo hotuba zake umuelewe vizuri.

We must live together as brothers or perish together as fools.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…