Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 27
Wapendwa wana JF
Leo ningependa tumkumbuke Hayati Nicholaus Zengekala ambaye alikuwa mwanamuziki asiyeona (kipofu).
Ninakumbuka Nyimbo zake kama SOLEMBA, na JACK MTOTO WA NAIROBI
Huyu ndugu kwa wanaomkumbuka aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha; katikati ya miaka ya 80 ambapo mie hadi leo sijui kisa cha kilichopelekea kuuwawa kwake.
Ninawaomba wana JF wenye habari kuhusu huyu ndugu marehemu watupashe.
Asanteni.
Leo ningependa tumkumbuke Hayati Nicholaus Zengekala ambaye alikuwa mwanamuziki asiyeona (kipofu).
Ninakumbuka Nyimbo zake kama SOLEMBA, na JACK MTOTO WA NAIROBI
Huyu ndugu kwa wanaomkumbuka aliuwawa katika mazingira ya kutatanisha; katikati ya miaka ya 80 ambapo mie hadi leo sijui kisa cha kilichopelekea kuuwawa kwake.
Ninawaomba wana JF wenye habari kuhusu huyu ndugu marehemu watupashe.
Asanteni.