Kweli Manara mna kikosi kipana,lakini mbona hampati matokeo mazuri?mfano Manula kesha bugia mikono miwili hivi bado tu mtampanga tena hio tarehe 12,na mkifanya hivyo maana ya kikosi kipana ni nini?
Kweli Manara mna kikosi kipana,lakini mbona hampati matokeo mazuri?mfano Manula kesha bugia mikono miwili hivi bado tu mtampanga tena hio tarehe 12,na mkifanya hivyo maana ya kikosi kipana ni nini?