Sisi wananchi wa Mkoa wa Mwanza tunakupongeza sana kwa uchapaji wako wa kazi katika Mkoa wetu. Tangu ulipohamishiwa katika Mkoa wetu matukio mengi ya kihalifu yamepungua sana.
Katika funga kazi ya kukupa maua yako ni pale ulipofanikiwa kuwaokoa watoto wawili waliotekwa na wahalifu kwa kuwakuta wakiwa salama na afya njema. Kitendo cha kupambana na hao wahalifu na hatimaye kuwaua ni kitendo cha kishujaa sana. HONGERA sana RPC na vijana wako wote walioongoza zoezi hilo. Ninamwomba Mhe. Rais aone kama itapendeza upandishwe cheo kwa kazi nzuri unayoifanya katika Mkoa wetu wa Mwanza. Kwa niaba ya wananchi wa Mkoa wa Mwanza NINAKUPA MAUA YAKO kwa kazi nzuri unazozifanya katika Mkoa wetu wa Mwanza.
Katika funga kazi ya kukupa maua yako ni pale ulipofanikiwa kuwaokoa watoto wawili waliotekwa na wahalifu kwa kuwakuta wakiwa salama na afya njema. Kitendo cha kupambana na hao wahalifu na hatimaye kuwaua ni kitendo cha kishujaa sana. HONGERA sana RPC na vijana wako wote walioongoza zoezi hilo. Ninamwomba Mhe. Rais aone kama itapendeza upandishwe cheo kwa kazi nzuri unayoifanya katika Mkoa wetu wa Mwanza. Kwa niaba ya wananchi wa Mkoa wa Mwanza NINAKUPA MAUA YAKO kwa kazi nzuri unazozifanya katika Mkoa wetu wa Mwanza.