charityboy
Senior Member
- Nov 11, 2010
- 138
- 4
Jamani sio vizuri kumdai katiba mpya jaji CHANDE wakati ndio kwanza ameapishwa jana. Tumpe kiasi cha muda kwanza apunguze kesi nzito zilizoko mahakani. Vyombo vya habari viwe fair.
Jaji mkuu mstaafu hana haki ya kujadili hoja hii kwani yeye ilimshinda.
Jamani sio vizuri kumdai katiba mpya jaji CHANDE wakati ndio kwanza ameapishwa jana. Tumpe kiasi cha muda kwanza apunguze kesi nzito zilizoko mahakani. Vyombo vya habari viwe fair.
Jaji mkuu mstaafu hana haki ya kujadili hoja hii kwani yeye ilimshinda.
chrityboy acha propaganda zako huna uwezo wa kumzuai mtanzania kutoa maoni yake-jaji mkuu ameona changamoto anafanya kulisema katika handover yake amekosea nini -wewe fisadi??????