Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

Mc PIPI

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2020
Posts
325
Reaction score
442
Salamu kwenu wakuu.

Jambo hili nimeona hapa ni mahali sahihi pa kupata solution ya kumaliza vizuri jambo la huyu dada.

Ipo hivi, leo kuna workmate mwenzangu na my best friend anafanyiwa send off huko kwao na huyu workmate mwenzangu ana rafiki aitwaye Clara wameshibana sana na huyu Clara ni meneja hoteli X, automatically Clara naye tukawa marafiki wa karibu sana, sasa muoaji naye ni mfanyakazi mwenzetu ila yupo kituo kingine na mimi ni Katibu wa kamati ya maandilizi ya sherehe itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii. Na hata honeymoon watakuwa katika hotel hiyo anayofanyia Clara.

Sasa, jana Clara ameniomba ushauri kwa jambo analokumbana nalo kuwa tangu kwa mara ya kwanza waonane siku 4 zilizopita jamaa ameanza kumsumbua kwa speed ya 5G kweli kweli na kibaya zaidi hasikii lolote, sasa jambo hili limemkera sana Clara mpaka anafikiria kutoshiriki harusi kwani hapendi kabisi kumuona huyo bwana hata kwa sura na anawaza asiposhiriki harusi rafiki yake atamuelewa vibaya na kumwambia saizi hawezi na kama atavumilia anawaza huko mbeleni rafiki yake akaja gundua kuwa Clara alikuwa anachati na mume wake basi yeye ndiye tena ataanza kueleweka vibaya.

Hivyo kuamua kunishirikisha kama mtu wa karibu zaidi kwa kila upande ili nimsaidie solution nami nimemuomba muda ili nifikirie kwanza.

Karibuni wahenga kwa michango yenu.
 
Duh ndoa za siku hizi majanga sana
 
Salamu kwenu wakuu.

Jambo hili nimeona hapa ni mahali sahihi pa kupata solution y kumaliza vzr jambo la huyu dada.

Ipo hv,hivi leo kuna workmate mwenzangu na my best friend anafanyiwa send off huko kwao,na huyu workmate mwenzangu ana rafiki aitwaye Clara wameshibana sana na huyu Clara ni meneja hoteli X, automatically Clara naye tukawa marafiki wa karibu sana, sasa muoaji naye ni mfanyakazi mwenzetu ila yupo kituo kingine na mimi ni Katibu wa kamati ya maandilizi ya sherehe itakayofanyika mwishoni mwa wiki hii.
Na hata honeymoon watakuwa katika hotel hiyo anayofanyia Clara.

Sasa, jana Clara ameniomba ushauri kwa jambo analokumbana nalo kuwa tangu kwa mara ya kwanza waonane siku 4 zilizopita jamaa ameanza kumsumbua kwa speed ya 5G kwelikweli na kibaya zaidi hasikii lolote,sasa jambo hili limemkera sana Clara mpaka anafikiria kutoshiriki harusi kwani hapendi kbs kumuona huyo bwana hata kwa sura na anawaza asiposhiriki harusi rafiki yake atamuelewa vibaya na kumwambia saizi hawezi,na kama atavumilia anawaza huko mbeleni rafiki yake akaja gundua kuwa Clara alikuwa anachati na mmewe basi yeye ndiye tena ataanza kueleweka vibaya.Hivyo kuamua kunishirikisha kama mtu wa karibu zaidi kwa kila upande ili nimsaidie solution nami nimemuomba muda ili nifikirie kwanza.

Karibuni wahenga kwa michango yenu.
Mtu anakusumbua wewe unahangaika nini?? Meseji ya kwanza tu ukiona inaenda hali jojo ni kitofali tu, anachezea block aende akaendekeze ujinga huko

Sasa wewe ukitaka kujibu mapigo kwa kumchatisha ndio maana mwisho wa siku unaombwa uchi na kuanza kuneng'eneka na si ajabu mwamba kashamkaza na ndio anaona aibu na wivu juu kiasi cha kushindwa na kuogopa kufika tukioni

Kama kashachezea ukuni akae kwa kutulia na ahudhurie harusi sababu kayataka

Sidhani kama mtu atajifanya eti fulani simpendi na hata sitaki kumuona kisa katongozwa

Kudadeki asitufanye watoto itakuwa mchizi kasham-diddy bila kilainishi ndio kisa kiroho kinamuuma
 
Kutongozwa kupo tu, akikataa vizuri akamblock jamaa ataacha. Yeye aende tu kwenye hiyo sherehe.

Pia, Mwambie aache unafiki, hakuna mwanamke mtu mzima asiyejua namna ya kumkataa mwanaume huyo mwanaume asimfate tena.
 
Kwa ishu kama izo mpaka anaomba ushauri basi kuna uwezekano mkubwa akakubali..

Ni simple tu, aache kumjibu.
 
Nashukuru wahenga,michango yenu naipata vema.
 
Naomba namba ya Clara kama hutojali Bibie
 
Clara itakuwa kashampa anakuzuga, hivi mwanaume humtaki ushindwe kumpa makavu?!!
Kwanza hizo nguvu za kuendelea kumsikiliza anazitoa wapi? Sisi wanawake mwanaume km humtaki lugha ya macho tu inamfanya anywee yy na bichwa lake la chini..!

Huyo muongo kashafanya matusi na bwana harusi mtarajiwa..
 
Clara ameshaliwa tena sio mara moja, tena show ya maana. Na kwa taaarifa yako wewe clara anampenda sana bwana harusi
 
Back
Top Bottom