Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani wadau mwenzetu huyu katika kuomba vyuo akaweka na open university .na bahati mbaya kachaguliwa huko.yeye ni form six liver.sasa afanyaje jinsi ya kupata chuo kingine
Duh!! Ashauriwe nini wakati alichagua mwenyewe...
unajua maana ya kuomba ushauri mkuu???duh!! Ashauriwe nini wakati alichagua mwenyewe...
unajua maana ya kuomba ushauri mkuu???
kwahiyo unataka kusemaje labda..!!
kwani swali umelielewaje?? kama umelielewa ndo hicho nataka sema!!!
sawa jembe nipo somo kuhusu ushauri..ukiweza anzisha thread mpya..!
kwenye moshi kuna moto.....
so what relationship does your bullshit reply have with my previous post...