Tumsaidie mawazo huyu dogo tafadhali!

Tumsaidie mawazo huyu dogo tafadhali!

shamali

Senior Member
Joined
Jul 6, 2013
Posts
186
Reaction score
56
Habari za muda huu ndugu zangu?!
Kuna dogo mmoja alifanya pepa ya form four akapata 0. Karudia tena bado hali ni ile ile. Amewaza sana asome nini kitakachomsaidia kwenye maisha yake hapati jibu, nami nimewashirikisha ninyi ndugu zangu tumsaidie mawazo. Aende veta au wapi au asome course gani jaman? Ni binti
 
hapo ujue elim na yeye haviendan ni bora aende veta akajifunze vitu vya vitendo zaid kama ufundi cherehan,umeme,uwashi nk
 
muulize yeye anataka nini kwanza au anafikiria nini,jambo jema na zuri linatoka kwa mhusika mwenyewe
 
Anaweza akamuuliza anataka nini akawa hajitambui bado,ama atasema tu kumridhisha kaka mtu,nafikiri waliotoa ushauri aende Veta ni sawa,halafu sisi watanzania huwa kuna kitu huwa hatuwaangalii watoto,unaweza kukuta ana kipaji fulani amacho kama wewe ungekuwa makini kumuangalia ungekiona,kusoma sio kila mtu,
 
veta chang'ombe, datastar, the amoz, eagle-wings, zoom college, panamfaaa tena ndo atakuwa TO wao coz yy angalaua amepita miaka 4 ya sekondary
 
Habari za muda huu ndugu zangu?!
Kuna dogo mmoja alifanya pepa ya form four akapata 0. Karudia tena bado hali ni ile ile. Amewaza sana asome nini kitakachomsaidia kwenye maisha yake hapati jibu, nami nimewashirikisha ninyi ndugu zangu tumsaidie mawazo. Aende veta au wapi au asome course gani jaman? Ni binti


Vipi bongo movie
 
Lugano5: Kwa maelezo zaidi au unampatia ajira kbs?
 
Mpeleke Garage akapige spana najua miezi 3 tu ataiva kama yuko bongo kujaribu kumuombea pale n
Nduvini auto works nimeona wadada wapo pale mafundi wazuri tu Wanaweza kumsaidia bi dada mwenzao.
 
me mwnywe nahisi jambo la huyo dogo kwenda veta ndio muhimu kwake
 
Habari za muda huu ndugu zangu?!
Kuna dogo mmoja alifanya pepa ya form four akapata 0. Karudia tena bado hali ni ile ile. Amewaza sana asome nini kitakachomsaidia kwenye maisha yake hapati jibu, nami nimewashirikisha ninyi ndugu zangu tumsaidie mawazo. Aende veta au wapi au asome course gani jaman? Ni binti
sio lazima wote tusome wengine wanatakiwa wawe mabeki tatu wetu
 
Back
Top Bottom