Tumsaidie mwenzetu apate haki ya mtoto wake

Tumsaidie mwenzetu apate haki ya mtoto wake

Kamsweetie

Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
37
Reaction score
23
Best wangu ametengana na mumewe wa ndoa (ya miaka 7 na ushee) huu ni mwaka wa pili sasa, walibarikiwa mtoto mmoja ambaye ni above 7 lakini under 18. Kwa sasa mtoto yupo kwa baba yake na hakuna kinachoendelea kati ya wazazi hawa wawili. Baba mtoto kampiga marufuku mama mtoto kuingia nyumbani kwake hivyo mtoto anafanya kumuitia getini (jamaa haishi na mwanamke zaidi ya dada wa kulea mtoto na wadogo zake). Naomba tumsaidie aanzie wapi sheria imsaidie kuhusu access ya mtoto na way forward ya ndoa yao. Masikini dada wa watu haishi kulia kila siku anazidi kukonda mpaka anatia huruma, ukimuuliza atakwambia Mungu yupo. (hii imeniuma bse najua uchungu wa mtoto ulivyo kulelewa na single parent)
 
Mpe pole sana avumilie, Mtoto ni wa Baba hata km ni wa kike. Kumtembelea mtoto ni shurti hakatazwi mwombe aende Ustawi wa Jamii
Pili km Mumewe hajaoa ana wasiwasi gani? atafute mume mwingine azae ili apatikane mdogo wake na watatembelea kwani huyo aliye above 7 atakwenda Shule mpaka Chuo huko atamtembelea tu. Apige konde Moyo
 
haya maisha kizungumkuti kweli kweli
 
Back
Top Bottom