dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,929
- 8,327
Toa taarifa viwanda bubu mtaani kwako vinavyotengeneza pombe feki. Usikae kimya maana inaweza kumkuta yeyote, hata wewe haupo salama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uchache sana endapo utazidisha unywaji katika kiwango stahiki! Kumbuka zimepita maabara kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya mwiliPombe og hazisababishi ugonjwa wa figo?
Labda unywe chupa 5 za hennessyPombe og hazisababishi ugonjwa wa figo?
Morogoro ina mambo sana ilishakuwa na mishakaki ya 100 kumbe ni kutoka IringaNdio maana mimi sinywi hizi pombe za elf mbili mbili.. mara 10 ninywe juice ya Ceres..
Tafuteni hela ndugu zangu.. ukichunguza hapo hakuna Imported alcohol waliyotemper nayo zaidi ya hizi local brands only..
Beer = Heineken
Spirit = Absolut VODKA
Na pale Msamvu wanakaanga chips ukizichek viazi ni vya njano kinoma.. nawaswas sanaMorogoro ina mambo sana ilishakuwa na mishakaki ya 100 kumbe ni kutoka Iringa
majuzi tumesikia nyama ya ngedere kutoka milima ya uluguru huko
Leo pombe ya kutengenezea kwenye mabeseni
There is more to come
Unaweza kusikia ni mizizi poriNa pale Msamvu wanakaanga chips ukizichek viazi ni vya njano kinoma.. nawaswas sana
NakaziaNdio maana mimi sinywi hizi pombe za elf mbili mbili.. mara 10 ninywe juice ya Ceres..
Tafuteni hela ndugu zangu.. ukichunguza hapo hakuna Imported alcohol waliyotemper nayo zaidi ya hizi local brands only..
Beer = Heineken
Spirit = Absolut VODKA