Tumsaidie Rais Samia Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, ametoa mabilioni kukarabati na kujenga shule ila watendaji wanamuangusha

Tumsaidie Rais Samia Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, ametoa mabilioni kukarabati na kujenga shule ila watendaji wanamuangusha

kasindaga

Senior Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
165
Reaction score
165
Mama Samia ametoa mabilioni ya shilingi kujenga na kukarabati mashule kote nchini lakini watendaji wanamwangusha.

Kuna shule moja inaitwa SM Itilima Wilaya ya Kishapu Km 30 kutoka Shinyanga mjini ni aibu ukiiona na sijui mbunge au mkuu wa mkoa anijua majengo ya shule yamebomoka; nyumba za walimu zimebomoka; kuna maji ya ziwa Viktoria; umeme wa Rea amejenga SUMA JKT. Kuna machimbo ya almasi Ikonokelo je hii ni halali?

Tunamwangusha mama yetu.

IMG_20221122_152822_719.jpg
IMG_20221122_153218_723.jpg
 
hivi serikali inafanya nini kujenga nchi mbona ipo kimya sana maana kila kona ni pesa za mama samia suluhu ndio zinajenga nchi pesa za serikali zinaenda wapi?
 
Mama Samia anatumia muda mwingi kusaidia wananchi waliomo vijijini km Serikali za mikoa na Wilaya hazifanyi kazi vunja hiyo shule ni nembo inayoonyesha Hali halisi pembezoni mwa Wilaya na mikoa. Hivi Tz shule hiyo itatoa mwanafunzi bora
 
Ukweli unauma pembezoni mwa nchi Hali inatosha mbunge wa Kishapu upo? Hata darasa la uviko hkn.
 
Mama Samia ametoa mabilioni ya shilingi kujenga na kukarabati mashule kote nchini lakini watendaji wanamwangusha.
Mama Samia atakua tajiri sana, Hadi anatoa mabilioni kujenga na kukarabati shule za SERIKALI?! Au ni za kwake? Au Kuna biashara anafanya?
 
Back
Top Bottom