Ad ni Dj? Hili sikulijua mwanzoMnamvimbisha kichwa Tu huyo Adam kusema ndo mtangazaji mzur bongo , hamna lolote pale , huyo ni dj na sio presenter ....ni lofa Tu anayeweza mchukua mchomvu kuwa host wa kpind , labda awe host wa shows au club Banger Dj
(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)
Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.
Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.
chagua yafuatao
a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...
au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.
Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa
View attachment 1469548
Dj?[emoji848]Mnamvimbisha kichwa Tu huyo Adam kusema ndo mtangazaji mzur bongo , hamna lolote pale , huyo ni dj na sio presenter ....ni lofa Tu anayeweza mchukua mchomvu kuwa host wa kpind , labda awe host wa shows au club Banger Dj
Mchovu hawez mupewa uongoz kipind kizima kitajaa wagumu kina songa,Nikki mbishi,mapacha,weusi kutakua kuna kipind tena hapo mkuu(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)
Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.
Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.
chagua yafuatao
a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...
au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.
Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa
View attachment 1469548
Ndo vizuri maana watangazaji wa aina yake wanaopenda hiphop ni adimu sana kiasi ambacho muziki wetu pendwa haupati airtime ya kutosha redioni.Jamaa yupo talented lakini bange nyingi..hawezi pewa kipindi aongoze yeye,kwanza atajipigia hiphop tupu
Naiunga mkono hii hoja kwa 100%Ana usela mavi wa kishamba Sana kufikiri kutukana ndio ujanja. Ruge alifanya kazi ya ziada kumshape, kumpa nafasi na kumuweka hapo ulipomkuta wewe. Lkn jamaa Hana busara za kujiongoza ukimwachia rungu ni Kama umemfungia chizi kwenye nyumba ya vioo yenye mawe ndani.
Ukiwa nje ya mchezo ni rahisi kusema haya, ila ukishaingia mchezoni ndio utaujua ugumu wa mchezo,(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)
Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.
Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.
chagua yafuatao
a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...
au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.
Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa
View attachment 1469548
Sikuwahi mujua fetty .Fety si aliikacha xxl? Kwanza nimemskia majuz kweny jahazi ,anaongea vbaya sana kama sio Fety yule wa xxl...yani anatoa rafudhi sijui yawapi...na anachoongea hata hakieleweki
Mkuu enz fety yupo xxl zaman sana...alikua ana bamba sana,hadi fiesta alikua ana host..ila alivyotoka na kusema mama yake kamzuia kufanya hizi mambo za entertainment, basi hii comeback yake imekua mbaya sanaSikuwahi mujua fetty .
Ila fetty nilipomuona ndio anahost kipindi clouds tv imeanza nilifurahi kumuona kidogo katika mazungumzo na kuendelea kweli fetty simuelewi kabisaa wanasifugi bure wote bangi tu.
Hata siwaelewagi labda nilimpenda diva sana na kipindi chake cha allah za roho men ni nzuri sana .
Ila sura hana ndio ubovu na fetty kweli sura anayo ila too much masifa .
Sory mkuu hapo ndio yupi(Adam kijana mwenzangu umeanza CLouds fm siku nyingi sana lakini angalia jinsi ambavyo unatengwa. Angalia jinsi ambapo huaminiki.
XXL ni wewe ndiyo ambaye unaibeba..Kipindi cha Bongo fleva ulinyang'anywa siku nyingi tu..now amepewa kennedy. Utaendelea kuwa mtangazaji mdogo hadi lini. nI KIPI ambacho umefanya hadi usiaminike)
Adam wewe ni brand kubwa sana..Tatzo hujui tu au hawakuambii. XXL bila wewe inakufa., Muda ambao unatangaza XXL ni dk 30 tu likini wewe ni maarufu kuliko kipindi.
Licha ya wewe kumzidi kila kitu B12 utangazaji..creative..but host wa kipindi alikuwa B12..kwa hapa labda kwakuwa ulimkuta.
B12 kaondoka tulitegemewa utapewa wewe...wamempa kijana mdogo Kennedy..Kweli wewe wa kuongozwa na Kennedy. Yaani Kennedy unamzidi kila kitu.
umekuwa underrated sana brother, ona hata kwenye FIESTA ulikuwa mc tu...kila kitu alipewa B12..LEO HATA Kennedy anasauti kwako.
chagua yafuatao
a) hama hapo..nenda sehemu yeyote...wewe hamna anayekufikia bongo..hao wakina lommy, b12, sam hamna anayeweza hata kwa nusu yako. Nenda radio zingine ukapate changamoto zingine.
au
b) fungua youtube yako/hapo mjengoni unafanya kazi muda mchache..fungua youtube utakuwa unawahoji wasanii mbali mbali..kwa jina lako wewe youtube itafika 500k miezi 3 tu/...wote wanafanya..b12, salam, sns.. youtube yako ya mziki ifanyeiwe ya habari...
au
c) Achana na mziki unakupotezea muda.
Adam upo underrated sana..Tanzania hii hakuna mtangazaji anayejua kutangaza redioni..stejini..km wewe..
Ondoka hapo..watoto wadogo watakudharau. sepa
View attachment 1469548
Aiseeallah za roho
Nimemsikia mamy baby karudushwa hlf yule minna ally kapewa km dk 5Mamy baby imekuaje tena ... Wamempiga chini au !?
Kuongeza mchovu ni brand meneger wa xxlAdamu ni mtangazaji mzuri wa kariba yake....anapenda sana utani na masikhara......komedian na mropokaji
Sio kweli kama yupo underrated pala CMG
Adamu alimkuta B12 XXl so ilikua ni sahihi tu kuendelea kua chini ya B12
Akapewa kipindi chake cha Bongo Fleva alikiongoza hadi pale yeye mwenyewe alipoomba apewe kipindi maalamu cha Hip Hop kwakuwa aliona kama Hip Hop haipati platform kama wabana pua
Ndio akapewa So So Fresh na Bongo Fleva akapewa Kennedy
Ndio maana kule So So Fresh ni mwendo wa Hip Hop mwanzo mwisho
Kwa muktadha huu Adamu anakipindi chake kama anchor kama walivyo Kennedy na Bongo Fleva, Mumy Baby na Top twenty
Na kutokuwa anchor wa kipindi hakukufanyi wewe kuwa underrated. Marehemu Kibonde, Kipanya, Gadner, Mussa nk ni watangazaji wakubwa lakini hawana vipindi vyao wanaongoza
Kumbuka bwana mdogo George Bantu ndio anchor wa jahazi na alikua naongoza wakongwe kibonde na gadner
Kuhusu Adamu kuacha muziki sioni mantiki yake
Yeye mwenye anasema anafanya Hip Hop kama hobby yake na sio kazi yake
Kuhusu Fiesta Adamu ana play party kubwa sana, licha ya kuwa Mc kwenye matamasha, Adamu ndio chief judge wa super nyota wa Fiesta mikoa yote inapofanyika fiesta
Kwa kupitia uzoefu CMG wanaweza wasiwe ndio Media house wanalipa vizuri Tz lakini ukweli ndio Media hause yenye fursa nyingi sana wa watangazaji wake kuliko media yeyote
Wengi waliondoka lakini mwisho wasiku walirudi wenyewe mjengoni