mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ni bonge la kipa! Tanzania one golini!Manula ni nani? toa utambulisho kwa faida ya wana JF
Tumtakie tu heri apone haraka pasipo hata kutuambia anaumwa nini? 🙄Hebu tutumie uzi huu kumtakia heri na kumjulia hali Aishi Manula, Mungu amponye haraka na kumpa afya njema!
Manula nakutakia afya njema na Mungu akuponye na kukulinda! Tabasamu- Mungu yuko upande wako!
Kafanya nn?Manula ni nani? toa utambulisho kwa faida ya wana JF wote
Aligongana na mchezaji wa JKT bahati mbaya na kuumiaKafanya nn?
Wanga utawajua tuManula ni nani? toa utambulisho kwa faida ya wana JF wote