Tumuhamishe Wizara Dkt. Ndugulile kwa sababu hakuna innovation yoyote anayoifanya

Kazi ya waziri sio kufungua keyboard, CPU, monitor au kuchambua mifumo ndio aonekane kuiweza wizara husika...Waziri ni kiongozi wa ki-sera Zaidi ambaye anakuwa na wataalamu chini yake kuanzia wakurugenzi,mameneja, maafisa na kadhalika ambao ndio wanafanya utendaji...Tusichanganye mambo
 
Hii wizara ifutwe. Haina faida
 
Hiyo wizara angepewa Prof. Simon Msanjila (katibu mkuu-madini) au hata Godwin Gondwe! Suala la technolojia ni pana sana , pia Very Dynamic, Huwezi kumkabidhi mtu ambaye hana ufahamu wa kutosha katika eneo hilo! Vinginevyo ataishia kuhimiza uwajibikaji na makusayo ya mapato!
 
Huwez kuweka waziri, naibu waziri na katibu wa wizara ambao sio wataalam wa ICt wakaanzishe wizara ya ICT, hapa hakuna miujiza ni madudu tu ndo yatakayotokea huko.
Madaktari mbingwa wa binadamu ndiyo wamewekwa wote hapo unategemea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…