Sijui kwa nini hawa wahuni wanataka kudanganya. Yaani wanatunga uongo. Watuambie ile Hospital ya Uhuru Dodoma hela zilitoka wapi??? Yaani hawa mafisadi acha waenjoy kidogo kikija chuma kingine ni wa kuwekwa pembeni tu ili nchi ibaki na wazalendo wenye nia ya dhati kwa maendeleo ya Tanzania ya sasa na vizazi.Fikira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
Hata ufisadi kwa Ccm ni jambo la maana. Kama mnaweza kuiba kura nchi nzima!! B 4 ni kitu gani kwenu??Wao wanahisi hizo hela Magufuli kala! Hata kama hazikwenda hapo Morrocco ila lazima kuna jambo la maana alifanyia
Kweli kabisa.Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.
Hili ndilo tatizo kubwa la awamu ya tano. Kukosekana uwazi na uhuru wa kutoa taarifa fasaha za shughuli za umma kumeacha uvumi (speculations) wa kila aina kuhusu matumizi ya pesa na ufisadi.Wananchi wanataka maelezo na uwazi katika kutekeleza miradi ya maendeleo na siyo longo longo!
Sasa serikali inashindwa vipi kutoa ufafanuzi?
Hii biashara ya nk hii 🤔🤔 watu wanataka reality in open qoutations na sio maneno! Uwaz na uwajibikaj ni muhimu sana kuliko majibu ya maneno matupu.Fikira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
Njaa mbaya sana,mnalipwa ngapi ndio mjitafutie laana?Magufuli hachafuki na anaendelea kupata umaarufu.
Siro: chadema wanamuona Mbowe malaika
Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.
Ili kurekebisha hilo tuanze na uwazi kabla ya ujenzi wa bagamoyo haujaanza maana mnasema mama ni msikivu! Aweke mzigo live uchambuliwe kabla hawajaupitisha😅Hili ndilo tatizo kubwa la awamu ya tano. Kukosekana uwazi na uhuru wa kutoa taarifa fasaha za shughuli za umma kumeacha uvumi (speculations) wa kila aina kuhusu matumizi ya pesa na ufisadi.
Vyanzo vya pesa na matumizi yake hasa kwenye miradi mikubwa ya ujenzi na ununuzi wa mitambo ni siri kuu (top secret) ya serikali. Wananchi wanatakiwa kuishi kwa imani tu! Asili ya binadamu haiko hivyo. Leo hata maaskofu wanahojiwa kwa tuhuma za ufisadi.
Magufuli ndiye Rais fisadi bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.Njaa mbaya sana,mnalipwa ngapi ndio mjitafutie laana?Magufuli hachafuki na anaendelea kupata umaarufu.
Kwa hiyo TZS 71.85 billion imejenga barabara yenye urefu wa 4.3KM?baadae Serikali ya Japan ikaleta fedha lakini nadhani kwakuwa zilikuwa zimeshapangwa na kupigiwa mahesabu kutumika barabara ya Morocco ikabidi zizame tena hapohapo..
Chuki mbaya sana tena kwa unaa mtu akaongeza na takwimu za uongo ilimradi tu mwamba aonekana mbaya....mtaumwa uharo huu mwakaMagufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike December 2015 zikapanue barabara ya Morocco-Mwenge kufikia njia 5.
Pesa za maadhimisho ya sherehe za uhuru 2015 zaidi ya shs. 4bn, serikali ya CCM tuelezeni zilienda wapi kama Japan walitotoa Shs. 71.8bn.
Hizo fedha alizoagiza Magufuli kuwa zikatanue barabara hii zilienda wapi?!
Hii ina maana huenda hata fedha nyingine zilizokuwa zinatokana na kutokufanyika shughuli nyingine za kitaifa kama vile nanenane na kadhalika zilikuwa zinafanyiwa ufisadi pia.
Muda ni mwalimu mzuri sana katika kuumbua.Naamini muda unavyozidi kwenda tutazidi kugundua ufisadi zaidi uliofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano pamoja na awamu hii ya sita.
Lakini pia cha kushangaza zaidi ni kwamba barabara hiyo yenye urefu wa km 4.3 tu sasa hivi imekuja kujengwa kwa gharama ya TZS 71.85 billion.
Ni vyema sasa CCM wakiri wenyewe kwa vinywa vyao kuwa wameshindwa kuongoza nchi hii na wakae pembeni bila shuruti.
View attachment 2034690
Huyo Behaviourist ni mpuuzi kila siku kufikiria chura mchagga huyoFikira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Majitu majingajinga km haya yanashutumu kila kitu yanaweza kubanwa nnya yakamshutumu Magufuli
anavuna alichopandaMsela alisha sepa ila kila kukicha magu magu
umesikia nyaa roho yako imefurahi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbukumbu za watu maarufu (kwa mazuri au mabaya) huzungumziwa vizazi hadi vizazi.