wana JF wale wenzangu na mimi tumuombe mungu kuhusu loan maana huyu jamaa ni kama kifo muda wowote atakuja na huondoka akiwa na sehem mbili wenye furaha na wenye majonzi tukazane kumuomba muumba wetu atujalie tupate mkopo
wana JF wale wenzangu na mimi tumuombe mungu kuhusu loan maana huyu jamaa ni kama kifo muda wowote atakuja na huondoka akiwa na sehem mbili wenye furaha na wenye majonzi tukazane kumuomba muumba wetu atujalie tupate mkopo