Tumuombee Faiza Ally, mzazi mwenza wa Sugu, ana maumivu makali sana

Una kazi sana wewe, ukiona mpaka amekuwekea hiyo picha na wewe kuiona na kuileta hapa ujue ndicho alichotaka, wewe umjadili, mission accomplished, kwa kifupi anakutumia bila wewe kujijua, huyo anatafuta attention, na wewe umeamua kutumika!
 
sema huwa kanashawishi kukakaza[emoji16][emoji16]
 
Kaka uzur wa mtu uko machoni kwa mtu,,sura au matako ni mapambo yanayovutia,,mm nimevutiwa na kashape kake,kama una nmba zake tatadhali mwambie asome kuna mtu nateseka juu yake,,ntamfanya amsahau mheshimiwa Rais wa Mbeya
Aisee iv Ni Mimi na kengeza au vipi,mbona Mimi namwona uso umemkoboka Sana namimi mwanamke wa type iyo kwangu Ni kinyaaa
 
Kaka uzur wa mtu uko machoni kwa mtu,,sura au matako ni mapambo yanayovutia,,mm nimevutiwa na kashape kake,kama una nmba zake tatadhali mwambie asome kuna mtu nateseka juu yake,,ntamfanya amsahau mheshimiwa Rais wa Mbeya
Unataka namba zake njoo na buku tano mzee,[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Uzuri bila akili ziumiazo ni sehemu za siri,yeye alizani Mzuri ,kumbe uzuri wa nje,Sugu kaangalia uzuri wa ndani.Akiendekeza ujinga wake atadanga mpaka uzee wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…