tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
asa maumivu yanatoka wapi alivokuwa akimdhalilisha mwenzie kiasi kile, mara leo kibamia, siri zooote za ndani amwagia mtandaoni sugu angewezaje sasa
Ni makosa sana kufikiria kumsema vibaya mzazi ama x wako. Leo hii kibamia cha sugu kinamtoa machozi. Kama kweli alimpenda kwanini alimdhalilisha kile? Eti sugu alitaka kumlawiti sasa ama move on iweje Leo alilie penzi la mtu aliyetaka kumlawiti?
Nimeona makonda karusha clip kuwa ndoa ya sugu ndio itakuwa ya kwanza kuingia kwenye database. Huku akijinasibu kuwa ataangalia sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasemaje juu ya faiza kulipwa fidia
Duuuh umenichekesha ila tafuta chapaa kila kitu malengoIla ningekuwa na hela ningemuoa huyu dada ni vile tu mm kapuku namkubali saaana huyu mdada ila najua cwez hata kusalimiana nae ,mimi namuombea kwa Mungu
ujue yule dada alikuwa so desperate sjui akili iliruka akawa anashindwa amrudishe vipi, akaona akichafua mwanaume atajichanganya amrudieMara sugu alitaka kumla kiboga
ujue yule dada alikuwa so desperate sjui akili iliruka akawa anashindwa amrudishe vipi, akaona akichafua mwanaume atajichanganya amrudie
alafu anatudanganya yuko happy na situation alonayo ya kumzaa mtoto wa pili eti alipenda, sasa km alipenda na kumpenda baba wa mtoto mbona saivi analilia kibamia, mara alitaka kumla kiboga, sugu ni mwanaume mstaarabu sana maana uyu dada alimchafua aiseeYani unaenda kuzaa mtoto n mtu mwingine halafu bado unamtaka mzazi wa firstborn wako,huyu dada dish limeyumba sana
alafu anatudanganya yuko happy na situation alonayo ya kumzaa mtoto wa pili eti alipenda, sasa km alipenda na kumpenda baba wa mtoto mbona saivi analilia kibamia, mara alitaka kumla kiboga, sugu ni mwanaume mstaarabu sana maana uyu dada alimchafua aisee