Tumuombee msanii maarufu kwa jina la Jini-Kabula

pole kabula..
kumbe ulikua unadanga huku unajitapa...
mwenzio snura mushi kakazana na singeli..
 
Basi Hollywood imejaa walokole maana wanaigiza na hawawi machiz
Hapana jiulize wanafanya nini baada ya hapo?

Je huoni wengi wao ni wapinga kristo? Tena wanaabudu hayo mashetan,? Huyu akitaka awe fit ni ama aanze kuabudu hayo mashetan ama amrudie Mungu kwa kumaanisha
Akianza kuyatumikia yatamfanya awe vile yapendavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msanii jini kabula amepatikana na msanii mwenzake Esha Buheti ametoa maelezo
 
Watanzania wanapenda sana kusaidia ila kama mtu anashida ya ugonjwa wa akili aende hospital ya serikali waseme gharama ni tsh ngapi watu watamchangia ila hali sasa ngumu kusema anahitaji tu msaada ni haitoshi.... Ila isiwe ni kick ya nitoke vipi kutokana na hali kubana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am just thinking outside the box here so please be gentle jinsi ya kusaidi atokee wakili mmoja afungue kesi ya madai zidi ya chombo kilichorekodi Na kurusha matangazo ya kumchafua then wafungue kesi ya jinai endapo atagundulika Ni mgonjwa kosa likiwa Ni udhalilishaji Ili iwe fundisho kwa watu wanaotumia mtandao vibaya. Ugonjwa wa akili Ni gonjwa Kama magonjwa mengine tuondoe unyanyapaa wa kipumbavu jamani
 
umetoka kolomije uko unakuja kutafuta madanga mjini sasa danga limedanga na wew vizuli ahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…