Tumuombee sana Musiba asidhurike kwa namna yoyote ile

Haya yote ni output ya Akiri ndogo kuongoza akiri kubwa
 
Membe... Nape...Slaa... Zitto...Bashe...Lipumba...Maalim Seif... Lowasa... Rostam...Mbowe...Anko Magu... hao watu wanaitaji muda zaidi subra zaidi uvumilivu zaidi ila yote ya yote ni wanasiasa km wanasiasa wengine kwa hiyo basi ni Tumbo kwanza na Familia hlf ndio nyie au sisi Daraja lao la kufikia malengo yao...
 
Kwa jinsi Melo alivyoelezea, huyu mtu anatumwa, analindwa, hagusiki kirahisi.
Huyu Musiba anadekezwa
"Distract, Divert, Discharge"

Sijui tunachezeshwa hili sebene kufumbwa lipi au kuandaliwa kwa lipi?[emoji848]
Musiba ameona fursa na sasa anaitumia.
Bado nuts hazijakazwa vizuri.... Zikishakazwa zote ndio milango itafungwa kwa komeo kubwa halafu ndio safari itaaza rasmi sasa.... Tena kwa mwndokasi usiozingatia TAHADHARI ya kikomo cha mwendo wala wenda kwa migulu
 
Daah hali inatisha sana, kweli tumuombee asipaliwe hata na mate!
 

Huyo anapata nguvu toka kwa mamlaka iliyo juu, na si unajua mkuu anapenda watukama hawa ili awapandeshe vyeo? mfano Mnyeti, Jerry moro, Bashite,LENGAI SABAYA, hAPI NA WENGINE?

hIYO NI MBINU ILIYO PANGWA NA POLISSM HAWANA LA KUFANYA BALI KUFYATA MKIA NA KUFANYA WALIYO AGIZWA
 
Ni mauaji tuuuu, kutekana, kutishana, kusutana tuuuuu, Maguuuuuuu!! Rudi mjini kunachafuka huku!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…