Tumuombee sana Musiba asidhurike kwa namna yoyote ile

Kwamba tumwombee!!!?
Acha utani Mshana jr.. Tunachopaswa kufanya sisi 'wananchi wanyonge' ni kuziba masikio na kuendelea na shughuli zetu za kila siku.
 
Kwamba tumwombee!!!?
Acha utani Mshana jr.. Tunachopaswa kufanya sisi 'wananchi wanyonge' ni kuziba masikio na kuendelea na shughuli zetu za kila siku.
Nisome kwa tafakuri kuu utanipata vema
 
tumwombee!kama yeye anaombea wengine wapate ulemavu kwa vipigo ata kuuawa!
 
Afrika ni kitovu na ni makao makuu ya ujinga na upumbavu duniani na ulimwenguni kote.

Karibuni kwa mapovu.
 
Hii ni plan:
Musiba atakula shaba, then tuhuma zote atapewa Membe, kesi itasikilizwa hadi baada ya 2020.
Jiwe nyoko sana
Huyu jamaa hana maisha marefu sehemu anazochokoza sio kabisa,maana ashaanza kuingia ndani na kuwatuhumu watu wa TISS,huko anaenda PABAYA,hauwezi kusema kwamba MEMBE anapewa taarifa na watu wa TISS na wote anawajua na kawapa amri waache mara moja,sasa anatoa ORDER kama nani? Jamaa ataenda kufumuliwa ubongo na kitu chenye ncha kali au atakutwa mtaroni.
 
Nimekuja kasi baada ya kuona kichwa cha uzi..na mleta uzi (mtaalamu Mshana Jr ),nikajua umeona kitu kuhusu musiba,ambacho kitatufurahisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…