Tumuunge mkono Nadhifa. Hata Magu alikuwa anakasirika!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Ukweli ni kwamba katibu mkuu aliye tenguliwa ni watu tunao waita “no nonsense” yaani hawapendi ujinga ujinga kama alivyokuwa Magufuli. Lakini tabia hii haitoshi kumfukuza mtu kazi ambaye ni mtaalamu wala sio mwanasiasa. Watanzania wanataka maji safi na bora na huyu hajafika hapo kwa bahati mbaya huo ukali ndiyo umemfikisha hapo. Lakini kukataa kudharauliwa kwa wataalamu wetu hasa wa kike ni swala muhimu sana.

Kama hatarudishwa kazini sita shangaa huyu mdada akaenda upinzani na haitamchukuwa muda kupata umashuhuri.


View: https://youtu.be/3BImcjuEC4c

View: https://youtu.be/GAEQhk_jNpk

View: https://youtu.be/WIZpJSSnWDY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…