Tumwambiaje Lamine Yamal mbadala wa Tafuta hela?

Tumwambiaje Lamine Yamal mbadala wa Tafuta hela?

Tyrone Kaijage

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
1,617
Reaction score
3,405
Tumekuwa tukihimizwa kutafuta hela na tusiendekeze mapenzi, Sasa bwan mdogo wetu Yamal yashamkuta huko,demu kawekwa kwa mapaja na mwamba mwingine kijana kahamaki,... ingawa kiasi fulani kajipata je, tumwambiaje sasa maana hela tayar anazo na zinazidi kuja....
 
Tumekuwa tukihimizwa kutafuta hela na tusiendekeze mapenzi, Sasa bwan mdogo wetu Yamal yashamkuta huko,demu kawekwa kwa mapaja na mwamba mwingine kijana kahamaki,... ingawa kiasi fulani kajipata je, tumwambiaje sasa maana hela tayar anazo na zinazidi kuja....
Aah mademu kmmke wana fadhila ngumu kinoma, hawana akili hata kidogo ni hisia tu ndo zimejaa fuvuni
 
Tumekuwa tukihimizwa kutafuta hela na tusiendekeze mapenzi, Sasa bwan mdogo wetu Yamal yashamkuta huko,demu kawekwa kwa mapaja na mwamba mwingine kijana kahamaki,... ingawa kiasi fulani kajipata je, tumwambiaje sasa maana hela tayar anazo na zinazidi kuja....
😂😂😂😂 wenye pesa wanaachwa , makapuku wanaachwa, any way labda ndio tiketi ya kumshusha dogo ki aina, maana dogo anaenda kuwa superstar, kuna namna wanamtengenezea mazingira ashuke.
 
Yamal bado bwana mdogo anaela za kutosha na ni superstar mkubwa. Anauwezo wa kuvuta almost pisi yoyote anayotaka yeye. Lakini huyo dem hawezi tena kupata bwana supastar kama yamal ataishia kujilaumu tu kwanini kumcheat... Kwaio msimamo ni ule ule. Tutafute pesa. Pisi zipo nyingine.
 
Tumekuwa tukihimizwa kutafuta hela na tusiendekeze mapenzi, Sasa bwan mdogo wetu Yamal yashamkuta huko,demu kawekwa kwa mapaja na mwamba mwingine kijana kahamaki,... ingawa kiasi fulani kajipata je, tumwambiaje sasa maana hela tayar anazo na zinazidi kuja....
Nasikia mali zake pia kaandikisha Jina la mamaye kama alivyofanya Halimo Achraf.
 
Tumekuwa tukihimizwa kutafuta hela na tusiendekeze mapenzi, Sasa bwan mdogo wetu Yamal yashamkuta huko,demu kawekwa kwa mapaja na mwamba mwingine kijana kahamaki,... ingawa kiasi fulani kajipata je, tumwambiaje sasa maana hela tayar anazo na zinazidi kuja....
Kama unatafuta hela ili umridhishe mwanamke basi endelea kujitafuta sana
 
Tumekuwa tukihimizwa kutafuta hela na tusiendekeze mapenzi, Sasa bwan mdogo wetu Yamal yashamkuta huko,demu kawekwa kwa mapaja na mwamba mwingine kijana kahamaki,... ingawa kiasi fulani kajipata je, tumwambiaje sasa maana hela tayar anazo na zinazidi kuja....
Alazimishe party awaite marafiki zake huyo demu watamtumia salamu, money speaks louder than words, (hela zinaongea kwa sauti kubwa kuliko maneno)
 
Back
Top Bottom