Tumwambie au Tumuache?

Tumwambie au Tumuache?

MOST WANTED

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
207
Reaction score
175
Kuna maisha baada ya Chuo.... [emoji3544]View attachment 2519095
20230216_110753.jpg
 
Anatoka mpumbavu mmoja huko hajawahi kucheza mpira,hajawahi kamari,haijui betting addiction,hajawahi danga.....

Anakuja kusema wanachuo wameacha kudanga na kubet anataka wawe mashoga.
 
Lakini hivi watu waozungumzia suala kuacha kubeti wanakuwa na akili gani jamani?hivi unawezaje kukaa huko na mawazo yako unakuja kumwambia mtu aache kazi yake kirahisi tuu alafu aende wapi kufanya nini wakati ajira hakuna na mkisema tujiari kwa namna wavyotaka huo mtaji tunautoa wapi?

Hebu watuache na kazi yetu kwanza nishagundua hata chagyzi zenyewe saivi nayo ni kubet tuu,maana naona hata wanaochaguliwa naona ni namna ile ile.

Hebu watuache.
 
Back
Top Bottom