Tumwombee heri Hayati Rais Magufuli ili apumzike vema dhidi ya haya majitu yanayolitafutia laana Taifa

Tumwombee heri Hayati Rais Magufuli ili apumzike vema dhidi ya haya majitu yanayolitafutia laana Taifa

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Karma is real and her other name is a bitch, nawaza hivi hawq vichwa maji wenye Imani za Freemasons ni wapumbavu kiasi kwamba pamoja na uzee wao hawaoni umuhimu wa utengamano na mshikamano wa kitaifa.

Magufuli alihimiza sana maombi, akazikwa kwa kejeli, maiti ilizungushwa kwa kusherehekea, sasa hata historia yake tu hawaitaki, ni kweli hawa wote walikuwa wanafiki kiasi hicho.

Hawa mashetani laana za kitaifa zitawakugusa kidogo tu mfano vifo vyao vya ghafla, ambavyo kwa ishara ni kwamba vipo vinakuja kwa maono ya malaika aina ya twiga mafua na damu kuganda wajikinge sana navyo.

Basi pasipo shaka kama wanataifa tuombe heri Hayati Magufuli asikasirike na Mungu kumwaga gharika kubwa kabla ya 2025.

Maombi yanatenda vema sana na Mungu akatupe nguvu na ustahimilivu wa kutochoka kuomba juu ya heri ya taifa hili.

Mungu wetu mkuu atusimamie vema.

Mungu wetu mkuu habagui kama kila avunjikae guu basi la mkuu halikumkaa.

Wasiosujudu na kusali Mungu nao guu lao halitapoa wala halitaboa.

Aliye mkuu hutenda ukuu wake kwa awaye yeyote.

Nawasilisha

Ni Mimi Wadiz a.k.a Baharia
 
Hivi una unajua kuwa mtu akifa matendo yake yanaambatana nae?? Unajua Kama alikuwa mwema atabaki na wema wake na kama alikuwa muovu itabaki hivyo hivyo?...... Hakuna maombi ya kumuombea mfu yatakayo fanya Kazi....

Angalia kesho yako... Kumbuka wema hauozi na ubaya haufi. Tuishi vizuri tu
 
Mungu aiweke roho ya marehemu pahala panapo stahili.
 
Muacheni apumzike kwa amani
Ukisha kufa huko shimoni hakuna mapumziko
1682918116880.jpg
 

Attachments

  • 1682918116880.jpg
    1682918116880.jpg
    111.6 KB · Views: 4
Karma is real and her other name is a bitch, nawaza hivi hawq vichwa maji wenye Imani za Freemasons ni wapumbavu kiasi kwamba pamoja na uzee wao hawaoni umuhimu wa utengamano na mshikamano wa kitaifa.

Magufuli alihimiza sana maombi, akazikwa kwa kejeli, maiti ilizungushwa kwa kusherehekea, sasa hata historia yake tu hawaitaki, ni kweli hawa wote walikuwa wanafiki kiasi hicho.

Hawa mashetani laana za kitaifa zitawakugusa kidogo tu mfano vifo vyao vya ghafla, ambavyo kwa ishara ni kwamba vipo vinakuja kwa maono ya malaika aina ya twiga mafua na damu kuganda wajikinge sana navyo.

Basi pasipo shaka kama wanataifa tuombe heri Hayati Magufuli asikasirike na Mungu kumwaga gharika kubwa kabla ya 2025.

Maombi yanatenda vema sana na Mungu akatupe nguvu na ustahimilivu wa kutochoka kuomba juu ya heri ya taifa hili.

Mungu wetu mkuu atusimamie vema.

Mungu wetu mkuu habagui kama kila avunjikae guu basi la mkuu halikumkaa.

Wasiosujudu na kusali Mungu nao guu lao halitapoa wala halitaboa.

Aliye mkuu hutenda ukuu wake kwa awaye yeyote.

Nawasilisha

Ni Mimi Wadiz a.k.a Baharia
Kuwanyima watumishi wa umma haki zao za kisheria inamuandama na yeye na wote wanaomtetea.
 
Back
Top Bottom