Tumwombee Raila Odinga aweze kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa AU

Tumwombee Raila Odinga aweze kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa AU

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Ndugu zangu uchaguzi wa Mwenyekiti wa AU unafanyika siku ya Jumamosi na wagombea wa kiti hicho wanatoka nchi za Kenya, Madagascar na Djibouti. Mgombea kutoka Kenya ni Mhe. Raila Amol;o Odinga ambaye pia anatoka Afrika Mashariki.

Tumwombee Ndugu Raila aweze kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti , Kwanza ni Mwenzetu toka Afrika Mashariki na pili ni rafiki wa damu na Hayati Mhe. Magufuli. Mungu amtangulie na aweze kuibuka kidedea katika uchaguzi huo.
 
Udini ni mkubwa sana, kuna wagombea watabebwa na dini zao na wengine watabebana kwa Francophone vs Anglophone!!

Kwahiyo sidhani kama Odinga atashinda, Ruto ajiandae kupisha ikulu maana Odinga akikosa hicho kiti atamgeukia!!
 
Tumwombee Ndugu Raila aweze kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti , Kwanza ni Mwenzetu toka Afrika Mashariki na pili ni rafiki wa damu na Hayati Mhe. Magufuli. Mungu amtangulie na aweze kuibuka kidedea katika uchaguzi huo.
Hata kuwa rafiki na dikteta ni sifa ya kumuwezesha kuchaguliwa!
 
Muwapishe na vijana sasa! Mahela yote mliyojichotea hayawatoshi?! 😄
 
Kura za africa union zinapigwa kwa udini
Odinga kazi anayo kwan anaushawish nchi za sadec tu
 

SADC urges its 16 members to back Madagascar AUC candidate​

The campaign team of Kenya’s candidate for the African Union Commission (AUC) chairmanship Raila Odinga is putting on a brave face after the 16-member bloc of the Southern African Development Community (SADC) threw its weight behind Madagascar’s Foreign Minister Richard James Randriamandrato on Thursday, February 13.

Mr Odinga and Djibouti’s Foreign Minister Mahmoud Ali Youssouf had for months been considered the leading contenders but the last-minute endorsement of Mr Randriamandrato could tilt the scales and complicate the vote.

The elections are scheduled for Saturday, February 15 in Addis Ababa, Ethiopia.
 
Wassira anaitwa Mzee ila Odinga aaa ah!
Nazani ni wakati Gen Z kupewa nafasi. Odinga kitu gani atafanya zaidi ya kutulia ale mafao ya uzeeni.
I think we need time to re- think on going issues concerning Africa's Better Tomorrow.
 
Ndugu zangu uchaguzi wa Mwenyekiti wa AU unafanyika siku ya Jumamosi na wagombea wa kiti hicho wanatoka nchi za Kenya, Madagascar na Djibouti. Mgombea kutoka Kenya ni Mhe. Raila Amol;o Odinga ambaye pia anatoka Afrika Mashariki.

Tumwombee Ndugu Raila aweze kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti , Kwanza ni Mwenzetu toka Afrika Mashariki na pili ni rafiki wa damu na Hayati Mhe. Magufuli. Mungu amtangulie na aweze kuibuka kidedea katika uchaguzi huo.
Naunga mkono hoja.
P
 
Wassira anaitwa Mzee ila Odinga aaa ah!
Nazani ni wakati Gen Z kupewa nafasi. Odinga kitu gani atafanya zaidi ya kutulia ale mafao ya uzeeni.
I think we need time to re- think on going issues concerning Africa's Better Tomorrow.

Gen z ? seriously? we jamaa umechanganyikiwa
 
Ndugu zangu uchaguzi wa Mwenyekiti wa AU unafanyika siku ya Jumamosi na wagombea wa kiti hicho wanatoka nchi za Kenya, Madagascar na Djibouti. Mgombea kutoka Kenya ni Mhe. Raila Amol;o Odinga ambaye pia anatoka Afrika Mashariki.

Tumwombee Ndugu Raila aweze kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti , Kwanza ni Mwenzetu toka Afrika Mashariki na pili ni rafiki wa damu na Hayati Mhe. Magufuli. Mungu amtangulie na aweze kuibuka kidedea katika uchaguzi huo.
Nani amwombee huyo mtu wa Kunyaland wafitini? Labda angekuwa ni mtoto wa Uganda au Burundi.
 
Ndugu zangu uchaguzi wa Mwenyekiti wa AU unafanyika siku ya Jumamosi na wagombea wa kiti hicho wanatoka nchi za Kenya, Madagascar na Djibouti. Mgombea kutoka Kenya ni Mhe. Raila Amol;o Odinga ambaye pia anatoka Afrika Mashariki.

Tumwombee Ndugu Raila aweze kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti , Kwanza ni Mwenzetu toka Afrika Mashariki na pili ni rafiki wa damu na Hayati Mhe. Magufuli. Mungu amtangulie na aweze kuibuka kidedea katika uchaguzi huo.
Teyari amepigwa chini
 
Back
Top Bottom