Sasa useme unataka soka lisonge mbele kuelekea wapi?Nlianzisha thread moja humu ndani nikisema tumwondoe Malinzi hapa. Wakaja watu wakadhihaki n.k lakini walikuja watu wakaleta details za muhimu kabisa ambazo zimefanyiwa kazi na matokeo yake nadhan yataonekana.
Lazma tufikie hatua tuheshimu nafasi tunazokuwepo. Siyo kila mtu ajifanyie anavyojifanyia yeye na watu wake. Utaratibu huu utaendelea kwa wote wanaotenda yasiyopasa kwa jamii hii ya tanzania.
Sasa useme unataka soka lisonge mbele kuelekea wapi?
Semeni mnataka viongozi wafanye nini
Nyie mnamwangalia Malinzi sio kama kiongozi na mazuri aliyofanya bali chuki,wivu,ukabila,uYanga,husda na vijino pembe. Na sijui hali zenu kiafya itakuwaje endapo atarudi tena awamu ya pili.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mjadala huu ndio sahihi.mbele kwenye mafanikio. tunataka viongozi waache ubinafsi ,waache kufanya tff ni sehemu ya kujineemesha. wawe na mipango endelevu ya kisasa kwa team zetu na taifa stars, waache usimba na uyanga kwenye maendeleo ya mpira, upangaji matokeo, vilabu vineemeke na mapato ya milangoni, team zisaidiwe kupewa utaalam wa kuendelea kimichezo. timu ya taifa ipatiwe kocha mwenye uwezo na iwe na kambi nzuri, mechi zichezeshwe pasipo kupangwa matokeo n.k haya yatafanya soka letu likue.
Nakusikitikia sana kwa kuchagua upande ulioshindwa kabla match haijaanza.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Mjadala huu ndio sahihi.
Naomba members waongeze ama kupunguza kutoka kwenye post hii niliyoi quote.
TFF inaweza kujiendesha?
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mim ni mhaya ila ukabila uhu siuungi mkono Malinzi ametubeba sana wahaya mpaka Tff tunaona haya