Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Umeona eeeh Mkuu,yaani hao waganga njaa wanakuja kutafuta utajiri TFF na kushibisha matumbo yao.Kwa hao waliojitokeza bora Malinzi
Hao wanaompinga Malinzi wameshikwa masikio na yule mchumia tumbo na popoma Gentamycine hawajui chochote kile wao ili mradi basha wao Popoma kaongea kitu fulani na wao hao kama nyumbu wa makinikia.Malinzi anafaa tena sana .... nachomkubal ameanzia chini baada ya kugundua timu kubwa ya Taifa haiwez kutufikisha popote
Tumeshirik mataifa ya Afrika under 17 na tunaandaa nadhan mwaka 2009
Huyu mtu anafaa coz ana vision na mipango inaonekana
Nahisi utakuwa mwandani wake Malinzi kwa jinsi unavyoonyesha mahaba yaliyopitiliza.Uongozi wa mpira sio kibao kata,hao pamoja na wewe ni wacheza kibao Kata.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Nyie mnaompinga Malinzi kwa ukabila na matusi mmeleta hoja gani za kumpinga Malinzi ikiwa mazuri na mabaya yake pia mmeleta hoja gani kuwatetea hao mnaoona wanafaa badala ya Malinzi?Nahisi utakuwa mwandani wake Malinzi kwa jinsi unavyoonyesha mahaba yaliyopitiliza.
Na kama amekulipa basi amechagua mtu asiyejitambua na anazidi kujipunguzia heshima.
Tetea kwa hoja na si matusi
Huyo Frank Wanjiru ni nyumba ndogo ya jamaa,,,anatumia ID ya kiume kuzugawewe utakuwa malinzi au binti yake. ndo mnaofadika na mambo yake.
Wewe ni nyumba kubwa ya Nyamlani au Mayai?Huyo Frank Wanjiru ni nyumba ndogo ya jamaa,,,anatumia ID ya kiume kuzuga
Airport ya Chato nayo unasemaje,inafaa kuwa chato badala ya Mwanza?halafu ukitoka hapo nendà kule Mpanda Katavi kwa Pinda kaiangalie ile Airport ni ndege ngapi zinatua na kupaa kwa wiki tuu ukimaliza uje hapa ulete mrejesho.Kaweka tartan kaitaba wakati kuna viwanja vikubwa muhimu vya miji mikuu ya nchi vya sheikh amri abeid, nyamagana na mkwakwani havina.
Hafai, hasafishiki hata kwa jikiKaweka tartan kaitaba wakati kuna viwanja vikubwa muhimu vya miji mikuu ya nchi vya sheikh amri abeid, nyamagana na mkwakwani havina.
tatzo tumejawa na chuki....Malinz atoke kwa lipi? nan mzuri kwenu? hata Tenga kipind kile mlisema hafai atoke, mtu kaanzisha lig ya wanawake, serenget boys tunaona mambo yake.... tusijikite tu kumkosoa mtu wakat kuna mazuri yake
Yanga imeanza kuwa Bingwa wakati huu wa Malinzi tuu?Hafai, hasafishiki hata kwa jiki
Aliwapa ubingwa yanga
Taifa stars inaboronga
Ni mkabila
Wewe ni Lucifer.Malinzi atokeee, shetani mkubwaaa!
Hao wanaendeshwa na chuki,wivu na husda tuu maana ukiwauliza watuambie mazuri na mabaya ya kumtaka Malinzi atoke hawajibu kitu zaidi ya kuishia ukabila na uYanga.Hivi ni wangapi wanao piga kura humu
Maana kama wapo tuwajue
Sasa mimi sipigi kura hata nikisema tumwondoe si kupoteza mda tu
Hapana kwanini?malinzi kwa kweli hapana