Tuna fanya programming ya funguo za magari

Brainze11

Senior Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
173
Reaction score
56
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya zaida au funguo umepoteza tunafanya Programming kwa bei nafuu. Pia kama kasha la funguo limechakaa unahitaji kubadili wasiliana nasi
SIMU:0714704097.
Email:info@wakudesahrt.com
Website:www.wakudesahrt.com
 
Mmefanya jambo zuri kuweka hii kitu humu najua itawasaidia wengi sana.
 
Mmefanya jambo zuri kuweka hii kitu humu najua itawasaidia wengi sana.

Kweli brother maana watu wengi walikua wanasumbuka mpaka inafika hatua wanabadili system nzima ya gari,wakat kuna solution rahisi
 
Mkuundugu nilete nissan yangu unitengenezre spare maana zile funguo zake ni za sensa Brainze11
 
Kutengeneza ufunguo WA ziada WA WA Land Rover Discovery 3 itagharimu kiasi gani?
 
mkuuu hiyo bei umeua sana khaaaaa. milion 1.3 kuweni nahuruma basi bila shaka ww ni AMUR WA BINO

Sio hivo kaka kwa funguo za discovery zinagharama kwel tofauti na funguo nyingine, me sio Amur ila ni jamaa yetu hua tunashirikiana kwenye kazi
 
Sio hivo kaka kwa funguo za discovery zinagharama kwel tofauti na funguo nyingine, me sio Amur ila ni jamaa yetu hua tunashirikiana kwenye kazi
vipi nikitaka kujifunza hiyo ishu mkuu inakuwaje?
 
vipi nikitaka kujifunza hiyo ishu mkuu inakuwaje?

Kwa sahiv bado hatuja weka mambo yetu sawa,ila kuanzia mwez wa tatu kilakitu kitakua sawa,maana hilo la kufundisha mafundi wengine ni moja ya plan yetu
 
Kwa sahiv bado hatuja weka mambo yetu sawa,ila kuanzia mwez wa tatu kilakitu kitakua sawa,maana hilo la kufundisha mafundi wengine ni moja ya plan yetu
mkuu basi niandike kabisa jina langu.ofisi zenu zipo wapi??mkuu
 
Kusoma data kutoka kwenye control box kwa ajili ya kuprogram funguo ya subaru(smark key)

 
big up sana boss sio ishu kama hizi wamejaa wakenya kuzifanya na wanaleta nyodo sana na zarau
 
@Brainze 11 unaweza ukawa na tacho softwere? kwaajili ya millage/odometer calculating?

coz natumia digipro3 so nikitoa eeprom kwanza nikisoma napata millage zilizopo nikitaka kuandika new millage then nikiweka okey inanipa neno hili CHECK WRITEN VALUE na kiforce basi inajiandika millage tofauti na zilizokusudiwa.

na vile vile na carprog so mahesabu ndio mtihan
 

Hapana hio software sina kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…