Tuna hadhi na uchumi wa kati?

I wish i have

Senior Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
135
Reaction score
62
Vikao vya bunge vinaendelea mjini Dodoma na miongoni mwa maswali ya leo, ni swali linalohusu Tanzania kuingia kwenye uchumi wa Kati kwa kutumia vigezo mbalimbali vya kidunia.

Swali (Money Maker): Tuna idadi ya watu takribani milioni 56 wenye madaraja tofauti ya uchumi, katika idadi hiyo kuna wangapi waliokubaliana kuingia uchumi wa KATI?

Waziri (BOT): Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na World Bank unaonyesha duniani kuna vigezo mbalimbali vya kutambua utulivu wa kiuchumi wa mtu mmoja mmoja na kwa mujibu wa ripoti ya Royal Bank of Canada Tanzania imevuka vigezo hivyo na watu wanautulivu wa hali ya Juu. Je watu wa Jf mna mtizamo gani kuhusu Tanzania kuingia Uchumi wa Kati:! Tuna hadhi hiyo?

 
Kikokotoo cha uchumi wa nchi kinatumia vigezo vingi, lakini kigezo kikubwa ni maendeleo katika sekta zinazochochea ukuaji wa uchumi na ubora wa huduma za jamii. Ukilinganisha na miaka ya nyuma katika sekta hizo, hakuna shaka kuna mabadiriko chanya ya kuridhisha kiasi cha nchi kutokuwa kwenye kundi la nchi maskini
 
Sasa nimeamini wanaotuangusha ni polisi tu kuwa na VITUO VISIVYOBORESHWA!?

 
Kweli yalibaki kuandika ya WEMA TU ILI UCHUMI UELEWEKE!?

 

Kweli uchumi unaeleweka saizi naingia zangu PHD ILI WASIOJUA WAJUE NA WENYE HAMNA (TUTAKUTANA KUNYANGANYANA TONGE)
 
UCHUMI WA 1. SHABIBI BUNGENI!? === WAHINDI HAWA HAWAZEZI KUGOMBEA URAIS TUELEWE
 

Attachments

  • VID-20211105-WA0008.mp4
    14.9 MB
Ni ngumu kusema. Kwa sababu hakuna tofauti sana ya maisha ya mtanzani kati ya juzi, jana na leo.
Karibu tunaanza kuimport watu wa kukaa TANZANIA ili tuheshimiane kirahisi maana "TUNAPATA VITU TUSIVYOVIKUBALI"
 
KWELI WANAHABALI MNA KAZI YA KUTENGENEZA ELIMU ISIYOELEWEKA KWA WADAU.... ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA HAWANA MUDA NA MAMBO YANAYOYAPIGANIA --- KIFO

 
Wasio kuwa na muda wameongezeka na kufika 393 - Kweli "TUNAENDELEO YASIO NA FURAHA"😳😳😳

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…