Guselya Ngwandu
Member
- Sep 17, 2021
- 39
- 84
Nimemkumbuka Mzee wetu Prof Assad. Nimekumbuka alivyoondolewa madarakani kwa mabavu, nimekumbuka ile IST yake siku anaondoka ofisini.
Nimekumbuka pia kwamba RIPOTI YA CAG ilikuwa inaogopwa na Serikali na kupingwa vikali. Nimekumbuka wapinzani kuishi kama digidigi pale wanapojaribu kujadili yale yanayoibuliwa na CAG.
Sijasahau kuhusu taarifa za kupikwa, siajasahau kiini macho cha ATCL kupata faida na Mashirika kusema wanapelka gawio ilihali wao wanagugumia ndanindani.
Leo nimemuona Rais asiyepuuza RIPOTI YA CAG. Nimemsikia akikubali madudu, nimemsikia akikiri Bima ya afya kuwa na matatizo lakini amesema atayapatia mwarobaini.
Nimemskia Rais akisema Wabunge wkajadili hii Ripoti na kuchukua hatua, nimesikia akisema hoja zinazofaa kujibiwa zijibiwe hadharani.
Ni Rais Samia Suluhu. Huyu Mama jamani Mungu amjaalie sana.
Nimekumbuka pia kwamba RIPOTI YA CAG ilikuwa inaogopwa na Serikali na kupingwa vikali. Nimekumbuka wapinzani kuishi kama digidigi pale wanapojaribu kujadili yale yanayoibuliwa na CAG.
Sijasahau kuhusu taarifa za kupikwa, siajasahau kiini macho cha ATCL kupata faida na Mashirika kusema wanapelka gawio ilihali wao wanagugumia ndanindani.
Leo nimemuona Rais asiyepuuza RIPOTI YA CAG. Nimemsikia akikubali madudu, nimemsikia akikiri Bima ya afya kuwa na matatizo lakini amesema atayapatia mwarobaini.
Nimemskia Rais akisema Wabunge wkajadili hii Ripoti na kuchukua hatua, nimesikia akisema hoja zinazofaa kujibiwa zijibiwe hadharani.
Ni Rais Samia Suluhu. Huyu Mama jamani Mungu amjaalie sana.