Tuna shamba eka 1,000 morogoro tunataka ushirikiano wa kulilima

Ungefanya utaratibu wa hati miliki na kutafuta mtaalamu akuandikie bussiness proposal. Then mkachukue mkopo bank. Achana na uchuuzi, hapo mnatakiwa kufanya usettler kama wazungu wa zimbabwe.
 

Mkuu ushauri wako ni mzuri sana ila unachangamoto hapo kwenye ng'ombe vp shamba lipo mbali na soko la maziwa hauni kuna shida ya kuyasafirisha hayo maziwa hadi sokoni?
 
Aaah. Yaani ng'ombe ishirini unataka uwafugie karibu na soko? Si utatafuta soko na kusafirisha maziwa? Wewe bwana unawaza kichuuzi sana. Hebu niuzie mimi hilo shamba basi?
Mkuu ushauri wako ni mzuri sana ila unachangamoto hapo kwenye ng'ombe vp shamba lipo mbali na soko la maziwa hauni kuna shida ya kuyasafirisha hayo maziwa hadi sokoni?
 
Aaah. Yaani ng'ombe ishirini unataka uwafugie karibu na soko? Si utatafuta soko na kusafirisha maziwa? Wewe bwana unawaza kichuuzi sana. Hebu niuzie mimi hilo shamba basi?

Madam kumbuka huyu mtu hana mtaji wa kutosha na imagine shamba lipo mbali na upatikanaji wa public transport anawezaje kusafirisha maziwa kila siku hadi sokono bila kua na usafiri wake binafsi ambao unahitaji investment nyingine tena?
 
Ungefanya utaratibu wa hati miliki na kutafuta mtaalamu akuandikie bussiness proposal. Then mkachukue mkopo bank. Achana na uchuuzi, hapo mnatakiwa kufanya usettler kama wazungu wa zimbabwe.

Sio rahisi kama unavyofikiria ukienda kitu cha kwanza utaambiwa ulete audited statement ya last six month bongo hatujafikia hiyo level bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…