Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Tunazaliana usiku na mchana ila nashangaa eti walimu hawana kazi, Nchi inachekesha sana
Mzungu ana watoto wawili ila walimu hawatoshi pamoja na jitihada za serikali, ila sisi
Tangazo la kazi unalikuta barabarani na bado watu hawaendi
Mzungu ana watoto wawili ila walimu hawatoshi pamoja na jitihada za serikali, ila sisi
Tangazo la kazi unalikuta barabarani na bado watu hawaendi