Katika swala lisilo la kawaida, viongozi mafisadi wameamua kukaa chini na kuongeza fedha ya medical capitation kwa mwaka wapili, je swala hilo mnalionaje hakuna mabaraza ya wanafunzi yaliyoshirikishwa, huduma pale social mbovu, kuna watu walilipa pesa mwaka jana hata sasa hawajapata bima....... WI TO: SWALA HILI TUSIRIKUBALI HATA KIDOGO mtoto wa mkulima anawasilisha.
Katika swala lisilo la kawaida, viongozi mafisadi wameamua kukaa chini na kuongeza fedha ya medical capitation kwa mwaka wapili, je swala hilo mnalionaje hakuna mabaraza ya wanafunzi yaliyoshirikishwa, huduma pale social mbovu, kuna watu walilipa pesa mwaka jana hata sasa hawajapata bima....... WI TO: SWALA HILI TUSIRIKUBALI HATA KIDOGO mtoto wa mkulima anawasilisha.