B Babasean Member Joined Oct 31, 2010 Posts 35 Reaction score 2 Nov 5, 2010 #1 Hi wandugu! NInaomba mnijuze mwenzenu niko nyuma kidogo hasa kwa kuwa siku mbili hizi nilikuwa nje kabisaa ya mawasiliano ya aina yoyote ile. naomba kufahamu idadi ya viti vya ubunge tulivyochukua hadi sasa, hapa namaanisha vya Chadema.
Hi wandugu! NInaomba mnijuze mwenzenu niko nyuma kidogo hasa kwa kuwa siku mbili hizi nilikuwa nje kabisaa ya mawasiliano ya aina yoyote ile. naomba kufahamu idadi ya viti vya ubunge tulivyochukua hadi sasa, hapa namaanisha vya Chadema.
N Nampula JF-Expert Member Joined Sep 26, 2007 Posts 254 Reaction score 3 Nov 5, 2010 #2 nadhani ni 23 mkuu
B Babasean Member Joined Oct 31, 2010 Posts 35 Reaction score 2 Nov 5, 2010 Thread starter #3 Nampula said: nadhani ni 23 mkuu Click to expand... Asante sana mkubwa! Ubarikiwe na Mungu na wana Chadema woote
Nampula said: nadhani ni 23 mkuu Click to expand... Asante sana mkubwa! Ubarikiwe na Mungu na wana Chadema woote