MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Kuna usemi umeshakua maarufu 'Tatizo la ajira ni bomu linalosubiri kulipuka', lakini tatizo ni nini hapa? Nini mzizi wa tatizo hili? Leo hii wanagraduate watu zaidi ya laki 1.5 kwa mwaka!
Unaambiwa Mtanzania akisimama na Mkenya kwenye usaili, Mkenya anakupita mbali sana. Tatizo nini hapa? Watanzania tuko inferior kiasi kwamba uoga ndio chanzo? Pamoja na kuwa na vyuo vikuu bora Afrika lakini tunabaki kuwa wasindikizaji tu.
Naikumbuka sana lile shindano la Zain African Challenge Interuniversities Championship miaka ya nyuma lililoshindanisha wanafunzi wa vyuo vikuu Afrika. Tuliona wenzetu walivyotushinda mfano Nigeria, Kenya, Ghana na hata Malawi. Nini tatizo juu ya hili?
Unaambiwa Mtanzania akisimama na Mkenya kwenye usaili, Mkenya anakupita mbali sana. Tatizo nini hapa? Watanzania tuko inferior kiasi kwamba uoga ndio chanzo? Pamoja na kuwa na vyuo vikuu bora Afrika lakini tunabaki kuwa wasindikizaji tu.
Naikumbuka sana lile shindano la Zain African Challenge Interuniversities Championship miaka ya nyuma lililoshindanisha wanafunzi wa vyuo vikuu Afrika. Tuliona wenzetu walivyotushinda mfano Nigeria, Kenya, Ghana na hata Malawi. Nini tatizo juu ya hili?