asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
Yes hun. I am a CS and I know we wouldn't both have made it.
My son is the huge type. At 18 months ananifika kiunoni.... Pata picha.
Am not delving so much into the medical reasoning behind it am just brushing by.
ha ha ha ha ha ha!!!!!!!! khaaaah..... wewe!!!!!!!
with close monitoring and early health care atajifungua , asitishike namna hiyo mummy.
mkuu pole sana kwa hali ilyokukuta.........
ukiachilia mbali sababu inayoweza kufanya mkeo kupata ujauzito ilihali madaktari walisema wamemfunga kizazi.......mimi nipo interesting na hapo juu......
hii taarifa uliyopewa inauhalisia gani?
usikute unatishwa bila sababu ya msingi.
Hapo nilipo bold hapo juu linawezakana tu mkuu ndiyo maana njia zote za uzazi wa mpango na hii ya kufunga mirija(BTL) hukuna yenye uhakika 100% may be 98% so percentage inayobaki ndo hiyo sasa.Nilishuhudia dada aliyefungiwa mirija akaenda kula tunda na mmewe mwaka uliofuata akarudi hosp.na mimba so inatokea........NI Mungu tu asiyekosea.
Nenda kwa nabii tb joshua awaombee mama na mtoto wate watakuwa salama kwa mungu yote yawezekana.
ahsante kwa kunipa matumaini Angel NylonMtoa mada umesema nurses ndo wamekuambia ivo? Jee ushaonana na wataalam?
Kuna uwezekano wa kupata huyo mtt na mama na mtt wote waka survive.
ahsante kwa kunipa matumaini Angel Nylon
Wacheni kukariri mambo hizi Imani nyingine nikumjaribu MUNGU tu! umepewa Akili yanini sasa! hizo gharama za kwenda huko kuckokuwa na Uhakika cniafadhali afanye jambo lenye uhakika,,,! Nyie ndo wale ambao TAA inawaka na Switch unaiona badala yakwenda kuzima unapiga maGOTI ili MUNGU akuzimie hiyo TAA duh,,,!!!
No really. My son is big. Tall for his age.
umemshauri vizuri.au pia akamuone prof mgaya bingwa wa wanawake pale muhimbiliKabla hujaamua pata ushauri wa madaktari bingwa zaidi pale muhimbili (Dr. Kamugisha, Dr. Thomas nk) Aghakhan (Dr. Kaguta, na wengineo,) kiufupi nenda kwa wataalamu wa kina mama,hao ndo wanaweza kukupa majibu sahihi zaidi.fanya hivo mapema mkuu!
Pole sana.muhimu ni kutafuta ushaur wa kitaalamu hospital nyingine kubwa.na iman utapata tu ufumbuzi. Muombe sana Mungu atakusaidia.mimi wazaz wangu walinipata kwa njia kama iyo.ujauzito wangu uligundukila ukiwa na miezi 7.mama alikuwa anahisi ni uvimbe tu coz alishafunga kizazi.alipata ushaur mzuri hadi ni kazaliwa.tafuta ushaur wa haraka kwa madaktari bingwa then fanya watakavyokushauri.pole mno.ila inauma na kuvuruga akili ukijua hukupagwa kuzaliwa.